Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Mimi sio mwanachama wa chama chochote ni mchangiaji huru.Bora wewe umesema ukweli kuwa mnawanunua wapinzani.Fikiria hii hofu ya Tume Huru ni ya nini kama mnakubalika?
CCM inaogopa hata Katiba mpya,ni aibu kwa chama kikongwe kama hiki?
Sent using Jamii Forums mobile app