tumbo

bin amour

New Member
Feb 12, 2012
4
3
kuna dada fulani kila anapofanya tendo la ndoa na mumewe anapata maumivu ya tumbo once baada ya kumaliza kwa tendo ilo,maumivu hudumu kwa muda mrefu,,ameshaenda spitali but hajapata ufumbuzi,,naomba msaada wenu madocta....
 
Pole mdada inawezekana jamaa yako ana dushelele kubwa zaidi ya nchi 8 aende hospital wakamuwekee ring ndio solution
 
Mpe pole sana mdada, maumivu ya tumbo anayoyapata yanaweza kuwa ya aina mbili, inawezekana ni kwa sababu ya misuli inayoshikilia kizazi kwa ndani (uterine ligaments) inavutwa sana wakati wa tendo la kujamiiana (over stretched) au inaweza kusabibishwa na infection kwenye kizazi na kibofu cha mkojo (cystitis).

Lakini pia baadhi ya wanawake wanakuwa na viungo vya uzazi vimelegea (laxy pelvic organs) ambapo husababisha kizazi kushuka kidogo sehemu ya ukeni (genital prolapsy) hawa nao hupata maumivu wakati wa kujamiiana. Kizazi hulegea pale ambapo mama anakuwa amezaa watoto wengi , au alikaa kwenye uchungu kwa muda mrefu, na wengine huzaliwa na tatizo hilo (congenital).

Uvimbe kwenye kizazi au kwenye ovaries huweza kusababisha maumivu ya tumbo baada ya kujamiiana.

Ni vizuri akamwona mtaalamu bingwa wa magonjwa ya wanawake na uzazi (obstetrics and gynecologist) iliachunguzwe vizuri.
 
Hiyo ni retroverted uterus. Lazima surgery ya kufanyiwa correction.

Amwone Gynaecologist na sio kila daktari aweza tibu tatizo hilo.
 
Back
Top Bottom