OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,882
Wakuu mpo!
Mfumo wako wa chakula (Tumbo) ni muhimu kama ubongo. Inashangaza kuona watu wakipanda boda boda wanavaa helmet ila wakienda kula wanakula kimazoea bila kulijali tumbo kama wanavyo kijali kichwa. Watu wengi hawalijali Tumbo,
Shibisha tumbo lako kwa kula vyakura vizuri mboga mboga na matunda
Matunda bei rahisi machungwa, ndizi, tikiti, nanasi parachichi. Mayai bei rahisi elfu moja unapata mayai mawili, dagaa na samaki bei rahisi, mboga mboga bei chee karoti, mchicha spinach n.k huku unakula nyama mara moja moja
Magonjwa ya ajabu ajabu utayasikia kwa wengine, uwezo wa kufikiri utaongezeka, stress zitaisha zenyewe pia inaleta hali ya kujiamini.
Wakuu tuyajali matumbo yetu kwa vitu vizuri
Tunakumbushana tu sio kwamba hamjui.
Nawasilisha
Mfumo wako wa chakula (Tumbo) ni muhimu kama ubongo. Inashangaza kuona watu wakipanda boda boda wanavaa helmet ila wakienda kula wanakula kimazoea bila kulijali tumbo kama wanavyo kijali kichwa. Watu wengi hawalijali Tumbo,
Shibisha tumbo lako kwa kula vyakura vizuri mboga mboga na matunda
Matunda bei rahisi machungwa, ndizi, tikiti, nanasi parachichi. Mayai bei rahisi elfu moja unapata mayai mawili, dagaa na samaki bei rahisi, mboga mboga bei chee karoti, mchicha spinach n.k huku unakula nyama mara moja moja
Magonjwa ya ajabu ajabu utayasikia kwa wengine, uwezo wa kufikiri utaongezeka, stress zitaisha zenyewe pia inaleta hali ya kujiamini.
Wakuu tuyajali matumbo yetu kwa vitu vizuri
Tunakumbushana tu sio kwamba hamjui.
Nawasilisha