Kwako ndugu
Tumaini Makene
Huu sio wakati wa kulala. Nyie ndo Chama Tawala watarajiwa. Dalili zote zinaonesha watanzania wameamka na wako upande wenu.
Ushauri wangu kwako na kwa Uongozi wa Chadema, kuweni active sana kwenye mitandao ikiwemo JamiiForums, kuna mawazo mengi mnapewa humu na wadau mbalimbali. Yachukueni na yafanyieni kazi.
Wakati ni huu. Njia ni nyeupe sana kwenu mwaka huu!