tumaimarishe serikali za mitaa

tumaimarishe serikali za mitaa

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,468
Hapa Tanzania Serikali za mitaa ni dhaifu. Ni wangapi kati yetu ambao tunamfahamu diwani wetu ni nani.
Nimeona USA jinsi ambavyo sheria a mitaa zinawekwa kwamba hairuhusiwi kupigana ndani ya vyombo vya Pubilc Transport. Sijaona hapa sheria watu wasibishane ndani ya daladala.
 
Back
Top Bottom