Massive brainwashing iliyofanyika kizazi kilichopita, then hiko kizazi kika brainwash walio fuata.Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kwa lolote.
Je, Nini kimesababisha hali hii?
A). Malezi mabovu ya wazazi
B). Maadili mabaya ya jamii
C). Kukosa elimu
D). Matumizi ya mihadarati
E). Kukata tamaa kutokana na serikali kushindwa kutengeneza fursa za uchumi kwa vijana
F). Amekua motivated na ufisadi mkubwa serikalini (kama ule wa Rost-tamu-za-Aziz).
Credit: Malisa GJ
272K views · 8.8K reactions | Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kw
Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na...www.facebook.com
Massive brainwashing iliyofanyika kizazi kilichopita, then hiko kizazi kika brainwash walio fuata.Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kwa lolote.
Je, Nini kimesababisha hali hii?
A). Malezi mabovu ya wazazi
B). Maadili mabaya ya jamii
C). Kukosa elimu
D). Matumizi ya mihadarati
E). Kukata tamaa kutokana na serikali kushindwa kutengeneza fursa za uchumi kwa vijana
F). Amekua motivated na ufisadi mkubwa serikalini (kama ule wa Rost-tamu-za-Aziz).
Credit: Malisa GJ
272K views · 8.8K reactions | Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kw
Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na...www.facebook.com
Mtaani ni kugumu sana,jibu langu ni kwamba watanzagiza wengi hasa elites na wale born town hawajui how poor and backward tanzagiza is, wengi (watanzagiza) wapo out of touch kabisa, hawajui kuna watoto wanalala njaa na ni wegi tu tanzagiza ...
Massive brainwashing iliyofanyika kizazi kilichopita, then hiko kizazi kika brainwash walio fuata.Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kwa lolote.
Je, Nini kimesababisha hali hii?
A). Malezi mabovu ya wazazi
B). Maadili mabaya ya jamii
C). Kukosa elimu
D). Matumizi ya mihadarati
E). Kukata tamaa kutokana na serikali kushindwa kutengeneza fursa za uchumi kwa vijana
F). Amekua motivated na ufisadi mkubwa serikalini (kama ule wa Rost-tamu-za-Aziz).
Credit: Malisa GJ
272K views · 8.8K reactions | Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kw
Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na...www.facebook.com
Kwanini mgombea mwenza wa CCM kwa nafasi ya makamu wa raisi bado anashikilia cheo cha katibu mkuu?Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kwa lolote.
Je, Nini kimesababisha hali hii?
A). Malezi mabovu ya wazazi
B). Maadili mabaya ya jamii
C). Kukosa elimu
D). Matumizi ya mihadarati
E). Kukata tamaa kutokana na serikali kushindwa kutengeneza fursa za uchumi kwa vijana
F). Amekua motivated na ufisadi mkubwa serikalini (kama ule wa Rost-tamu-za-Aziz).
Credit: Malisa GJ
272K views · 8.8K reactions | Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kw
Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na...www.facebook.com
Tusisahau pia mchango wa dini za vitabuMassive brainwashing iliyofanyika kizazi kilichopita, then hiko kizazi kika brainwash walio fuata.
Lakin hao hawakuweza ku beainwash watoto wao, ndio hawa leo wanagongana kimawazo na mifumo iliyozoea kizazi kilichopita
Hii kitu ilifanyika makusudi na ustadi mkubwa, kuingiza uwoga (kusikuwepo na resistance among citizen), utii uliopitiliza, na kutengeneza tabaka ambalo only watoto wa vibosile ndio watakuwa leaders.
Uarabuni wana dini za vitabu na wameendelea na ziko zinaongozwa kwa sheria za dini na bado wameendelea na ulaya wana-dini za vitabu na wameendeleaTusisahau pia mchango wa dini za vitabu
Huku kwetu Umasaini ndani ndani huku, haiwezekani mtoto aende shuleni na kurudi kila siku kwani kutoka nyumbani hadi shuleni kwa miguu ni haiwezekani kabisa kwa mtoto mdogo - Km 30+. Wazazi hatuwezi kulipia boda 4,000/= (2,000/= kwenda na 2,000/=kurudi) kila siku. Wazazi wenye pikipiki au usafiri mwingine hujitahidi lakini kama tujuavyo, vyombo vya moto kuna siku vinazingua(Kuharibika). Serikali imeweka shule za msingi za bweni lakini bado hazitoshelezi mahitaji. Bado chakula na changamoto nyingine njiani wakiwemo wanyama pori, mvua/mafuriko, watu waovu ........... halafu una watoto 3-4 wanaokwenda shuleni. Hali ni tete sana-sana.jibu langu ni kwamba watanzagiza wengi hasa elites na wale born town hawajui how poor and backward tanzagiza is, wengi (watanzagiza) wapo out of touch kabisa, hawajui kuna watoto wanalala njaa na ni wengi tu tanzagiza.
kuna siku nilipanda basi la mkoani dreva wa basi akasimama barabarani kuchukuwa watoto wa shule kama kuwasaidia walikuwa wanatoka shuleni lile basi lilisafiri karibia dakika 5 (kwenye highway) ndiyo wakafika karibia na nyumbani na kuwashusha sasa fikiria huo umbali, hao watoto wanakwenda kwa mguu na kurudi kila siku, huyo mtoto atasoma kweli na kuelewa chochote ? na huo ni mfano tu na hao bado ni the lucky ones ...
Huku kwetu Umasaini ndani ndani huku, haiwezekani mtoto aende shuleni na kurudi kila siku kwani kutoka nyumbani hadi shuleni kwa miguu ni haiwezekani kabisa kwa mtoto mdogo - Km 30+. Wazazi hatuwezi kulipia boda 4,000/= (2,000/= kwenda na 2,000/=kurudi) kila siku. Wazazi wenye pikipiki au usafiri mwingine hujitahidi lakini kama tujuavyo, vyombo vya moto kuna siku vinazingua(Kuharibika). Serikali imeweka shule za msingi za bweni lakini bado hazitoshelezi mahitaji. Bado chakula na changamoto nyingine njiani wakiwemo wanyama pori, mvua/mafuriko, watu waovu ........... halafu una watoto 3-4 wanaokwenda shuleni. Hali ni tete sana-sana.
Mkuu nitakuomba univumilie kidogo.kwa hali ya kawaida hiyo ni kazi ya halmashauri, ilipaswa kujua eneo lake lina watoto wenye mahitaji na hata kuorganize kuwakodishia minibus ya kuwachukuwa na kuwarudisha angalau mpaka kituoni tu karibu na wanakoishi, halmashauri kuna kodi wanakusanya, hata serikali za mitaa kuna fungu wanalo yote haya ni kwa sababu watu hawafanyi kazi, wanapokea mishahara ya bure tu na kupiga domo, ofcourse uozo umeanzia juu, kama juu ni incompetent inashuka na kuathiri kila mahali.
hilo la watoto ni mfano tu, lkn taifa lisilojali welfare ya watoto wake ambao ndio taifa la kesho ina maana halijali future yake, na haya mambo ya sijui “dira 2050” ni fiksi tu …