Benz Petrol
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 504
- 196
kufuatia tamko la Mh. waziri Mkuu wiki iliyopita kuwa wananchi wapigwe, tupo kwenye kampaign ya kumtaka Waziri huyo atengue statement yake hiyo kwani si haki na wala si sawa, kindly nawaomba msign kwenye link hii ili tupate as many signatures as possible kuonyesha ni watu wangapi jambo hili limewagusa:
Wito kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Sign the Petition
Wito kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Sign the Petition