Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Dah!
Hii dunia ya ajabu sana!
Niliagiza simu ya Samsung mtandaoni, siku naenda kuichukua naikuta imefungwa vizuri tu, nikaifungua vizuri, ile kuiwasha tu, ika display label ya itel, hata mafaili yake yalikaa ki itel! inakaa na chaji si zaidi ya nusu saa! Ukiichaji inakuwa ya moto sana!
Lakini nje ilikuwa Samsung!
Tuliowahi kuuziwa mbuzi kwenye gunia tutoe shuhuda zetu!
Nawasilisha:
Hii dunia ya ajabu sana!
Niliagiza simu ya Samsung mtandaoni, siku naenda kuichukua naikuta imefungwa vizuri tu, nikaifungua vizuri, ile kuiwasha tu, ika display label ya itel, hata mafaili yake yalikaa ki itel! inakaa na chaji si zaidi ya nusu saa! Ukiichaji inakuwa ya moto sana!
Lakini nje ilikuwa Samsung!
Tuliowahi kuuziwa mbuzi kwenye gunia tutoe shuhuda zetu!
Nawasilisha: