EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,702
Nikiwa Form 5 Moringe Sokoine Sec tuligoma A-level wote kisa kukataa kufanya usafi dining na library wakati huo Lowasa akiwa Waziri wa Maji na ndio Mwenyekiti wa bodi ya shule tukapigwa suspension ya miezi miwili wanafunzi 9 na turudi na wazazi.
Form 6 watu watano
Form 4 wanne
PCB nikiwa peke yangu
Nlijificha kwa anti Lyamungo Sec Moshi akanitoa nduki ikabidi niende home Morogoro dingi mjeshi alinitandika viboko vingi sitasahau.
Siku tunarudi kuna mwanafunzi mmoja tuliripoti pamoja kumbe alimkodi mtu awe mzazi wake yule jamaa alipandwa na mori kama mzazi kweli alimtandika jamaa viboko mbele ya headmaster.
Nilijua kakodiwa wakati tuna wasindikiza wazazi stendi wakaanza kupigana njiani
Kama ulishawahi kupigwa suspension tukutane hapa na kisa chako
Sent using Jamii Forums mobile app
Form 6 watu watano
Form 4 wanne
PCB nikiwa peke yangu
Nlijificha kwa anti Lyamungo Sec Moshi akanitoa nduki ikabidi niende home Morogoro dingi mjeshi alinitandika viboko vingi sitasahau.
Siku tunarudi kuna mwanafunzi mmoja tuliripoti pamoja kumbe alimkodi mtu awe mzazi wake yule jamaa alipandwa na mori kama mzazi kweli alimtandika jamaa viboko mbele ya headmaster.
Nilijua kakodiwa wakati tuna wasindikiza wazazi stendi wakaanza kupigana njiani
Kama ulishawahi kupigwa suspension tukutane hapa na kisa chako
Sent using Jamii Forums mobile app