ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,089
- 13,005
Picha yake anaonekana mlevi sana,yawezekana alikua anakutwa hana kitu,kalewea zote.
Picha yake anaonekana mlevi sana,yawezekana alikua anakutwa hana kitu,kalewea zote.
Kwa faida ya wengi, atakayehitaji hiki kitabu Cha martial arts pressure points anicheck pm nimrushie. Hiki kinafundisha sehemu za mwiki ambazo hata ukiwa umetaitishwa basi unaweza kumpa mtu mapigo hadi ukaskia mlio wa mavi.View attachment 1052299View attachment 1052300
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi tofauti ya Kibaka na Jambazi ni nini?Acha kujifanya ulishakutana na majambazi, hata mlio wa AK 47 au SMG huujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiku una mengi, kuna wanadamu wao wamejitolea usiku kama ndio muda wao wa kutafuta chochote kitu,,, binafsi nimewai kukutana na matukio machache ya kukutana na wezi usiku.
Tukio la kwanza, nakumbuka tulikua form six miaka ya nyuma tunatoka kwenye kumbi za starehe tukiwa watatu tunarudi tuliko kua tumepanga uswahilini, njiani tulikutana na wezi wametoka kuiba samani meza, vitanda, na viti walikua wengi kiasi, jamaa walitusimamisha mmoja wao akatupiga mkwara mzito sanaa, nakumbuka walitubebesha meza, rafiki angu mmoja mwenye mwili mkubwa yeye alibebeshwa kabati, tulitembea kama kilomita mbili hivi wakatuachia, yule mwenzetu aliebeba kabati aliumwa mgongo wiki nzima.
Tukio la pili, nikiwa nakatiza mitaa ya sinza, nikakutana na kundi la vibaka wako kama sita hivi, saa sita usiku, ilikua ni ile position unakata kona unakutana na watu hawa hapa, siku sita nikapita kati kati yao maana hakukua na namna nyingine ya kukimbia, nilipigwa kabali ya hatari, huyu kashika mguu huu, mwingine kashika mguu mwingine, walinichukulia simu, waleti na viatu, tukaachana kwa mengi matusi tunatukanana.
Tatu, hii ilinikuta maeneo mapya niliyokua nimehamia, mida ya saa tano usiku nimetoka kunywa mitungi mtaa wa pili, walikuja vijana wawili kwenye boda boda na mapanga yao, mmoja nilimvamia kwa speed ya hatari nilimrukia teke moja akaanguka analia ana kufa, siku laza damu nilikimbia speed ya kufa mtu.
unaweza kushare mawili matatu kama umewai kukumbwa na mswaibu haya, then watu wakajifunza chochote na kuchukua precautions siku za mbeleni.
Hapo ni pale zinapokutana hasi kwa hasi au chanya kwa chanya, si mara zote inakuwa Majambazi vs Raia, sometimes nayo yanaingia chaka kwa wenzao, au Wajeda n.k.ilikuaje wakafa?
Kama hujui utofauti shauli yakoHivi tofauti ya Kibaka na Jambazi ni nini?
Kama ni silaha hata Vibaka wameshaua sana kwa kutumia visu, pisipisi n.k.
Mimi naona wote ni hao hao tu, wanakuibia na wanaweza kukuua.
...tofauti iliyopo labda ni kati ya Mwizi na Mdokozi.Kama hujui utofauti shauli yako
Kanuni ya kwanza ukiwamiwa na majambazi na ukaona wamekuwahi basi unatakiwa kua mpole na kuwapa ushirikiano wote wanaouhitaji.
Majambazi hua na siraha ila huitumia tu pale wakiona usalama wao uko hatarini, zaidi zile ziraha hua ni kwa ajili ya kukutishia ili uogope, sasa ukileta mgomo hapo ndio hulazimika kutumia siraha.
Siku zote usibishane na jambazi, mpe ushirikiano wote unaohitajika, fuata maelekezo wanayokupatia.
Pia siku zote usidharau mlio/kelele yoyote isiyo ya kawaida wakati wa usiku unaousikia jirani au nyumbani kwako, hakikisha unaamka kuangalia ni kitu gani. Juzu mwezi wa 11 mwaka jana, nikiwa macho, taa inawaka chumbani kwangu na tena dirisha moja nimefungua pazia hivyo ukiwa nje unaniona, nikiwa nachat jamii forum sa 7 usiku nikasikia mlio wa kama dirisha la jikoni kwangu linavunjwa, nikapuuza nikasema itakua labda jirani yangu karudi, nikapuuzia, kumbe vibaka wanavunja dirisha waeeze kufungua mlango wa jikoni wazame ndani.
Baada ya kushindwa wakavunja grill ya jirani yangu, wakavunja mlango, wakaingia wanachukua laptop, flat ya samsung nchi 55 nshikaji alikua kainunua hata wiki haijaisha, wakachukua hela, wakaondoka, kumbe walikuja na gari hapo nje geti kubwa.
Bahati mbaya kwao ni kua niliamka kwenda kukojoa nizime taa nilale ila kabla sijapanda kulala nikaenda jikoni kuangalia, nakuta dirisha limevunjwa, mlango umelegea kama vile ulikua unachezewa, kufungua nakuta grill hangu imeng'olewa, kuangalia kwa jirani mlango uko wazi, grill imevunjwa, hapo ndio nikastuka, jirani amelala fofofo, nikamamuasha hakuamka, nikaachana nar kwanza, kisha kwangu nilikua na mshikaji kalala roon nyingine nikamuamsha, kutoka nje gari ikakimbia wakaacha mazaga yote waliokua wamekusanya nyumba za jirani zote. Hiyo ndio ikawa pona ya vitu vya mshikaji na majirani.
Vibaka wengi wa siku hizi ni washkaji tu, hawa vijana waliopenda kazi ila wanapenda kunywa na kula vizuri, kumiliki mademu wazuri nk. Mimi nikikamata kibaka/mwizi hawa masharobaro sitamuua wala kumpigia kelele, namuingiza room nampiga mashine ya kueleweka huku namchukua video kisha namuacha.
Mkuu hiyo mitaa ya buzuruga, memo, had I national vijana wezi sana. Mimi mwaka Jana mitaa niliyokuwa naishi national nyuma ya comfort hotel walinipulizia dawa wakaiba flat screen,jiko, nguo na via zangu kwenye nlishtuka SAA 3 asubuhi. Hata job nilishindwa kwenda sumu Kali sana ile.