Nikola24
JF-Expert Member
- Aug 26, 2024
- 598
- 1,236
Mimi binafsi nimewahi kuwekwa mahabusu mara 6 kwa vipindi tofauti.Sababu ni ugomvi ugomvi.
Nimeanzisha huu Uzi tu share stori za mikasa na uzoefu uliopata ukiwa lock up.
Mimi naanza:
Nikiwa mahabusu woga mkubwa ni wafungwa wenzangu.Unakuta watu kibao humo, wapo walioua,kubaka,wezi, na hata majambazi. Wahalifu Wote mnakaa chumba kimoja.Hii structure inatisha sana.
Kuna wengine wakiwa mahabusu hawana stress kabisa,utakuta kachangamka kama yuko kitaani.Kwangu hata kula nilikuwa najilazimisha ,nakuwa nawaza sana aisee.
Ukiwa mnyonge unaweza kuonewa hata kubakika na cell mate wenzako.
Kikubwa nashukuru nilitolewa ndani ya siku chache nikarudi home dah.
Nanyi wekeni uzoefu wenu tujifunze....
Nimeanzisha huu Uzi tu share stori za mikasa na uzoefu uliopata ukiwa lock up.
Mimi naanza:
Nikiwa mahabusu woga mkubwa ni wafungwa wenzangu.Unakuta watu kibao humo, wapo walioua,kubaka,wezi, na hata majambazi. Wahalifu Wote mnakaa chumba kimoja.Hii structure inatisha sana.
Kuna wengine wakiwa mahabusu hawana stress kabisa,utakuta kachangamka kama yuko kitaani.Kwangu hata kula nilikuwa najilazimisha ,nakuwa nawaza sana aisee.
Ukiwa mnyonge unaweza kuonewa hata kubakika na cell mate wenzako.
Kikubwa nashukuru nilitolewa ndani ya siku chache nikarudi home dah.
Nanyi wekeni uzoefu wenu tujifunze....