Bibi yangu alikuwa ananifundisha kutengeneza ugoro nikasahau shule!!!The heading above is concern.ilikuwaje ukafeli..ulikuwa kilaza wa aina gani?mtihani ulikuwa mgumu Sana au uwezo wako tu ndiyo ulikuwa ndogo.
Elezea kwanza wewe ilikuwaje ukafeli ndo na wenzako wachangie..... by ze wey mtafute mbabe wa vita le generale BashiteThe heading above is concern.ilikuwaje ukafeli..ulikuwa kilaza wa aina gani?mtihani ulikuwa mgumu Sana au uwezo wako tu ndiyo ulikuwa ndogo.