The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 820
Hilo nilishalitambua mda broo...na nimeshajutiaga na kujutia ila hiyo yote ni kwa sababu ya kuwa kwenye mahusiano na mtu ambae humpendi au kwa lugha rahisi naweza kusem unakuwa nae kwa kumhurumia, ndo kilichopelekea nikawa natumia lugha za ajabu ili tu aniache maana alikuwa hataki kuachikaDuuh apa siku fichi njia ulio tumia ume zingua