mchumi tumbo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 832
- 996
Habari ya wakati wana MMU.
Ni matumaini ya wengi,mimi nikiwa miongoni mwao kuwa maisha yetu ya chuo kikuu tungeweza kupata wenza wetu au vident vya kula navyo bata.
Nilisoma kwa juhudi sana O'level na Advance(uboizini) ili nitusue niingie chuo.Story za kitaa ziliongeza shauku yangu ya kutimba chuo. Nilikuwa najisemea huko nitaenda kuyaishi maisha ya chuo ipasavyo.
Naingia chuo ninamalengo ya kupata joho na ubavu wangu. Ila mambo yameenda tofauti kabisa miaka minne pale CoET lakini nimetoka na cleansheet sijapata hata Du mmoja.
Game inaisha nimepigwa 4-0 na joho langu mkononi.
Ni matumaini ya wengi,mimi nikiwa miongoni mwao kuwa maisha yetu ya chuo kikuu tungeweza kupata wenza wetu au vident vya kula navyo bata.
Nilisoma kwa juhudi sana O'level na Advance(uboizini) ili nitusue niingie chuo.Story za kitaa ziliongeza shauku yangu ya kutimba chuo. Nilikuwa najisemea huko nitaenda kuyaishi maisha ya chuo ipasavyo.
Naingia chuo ninamalengo ya kupata joho na ubavu wangu. Ila mambo yameenda tofauti kabisa miaka minne pale CoET lakini nimetoka na cleansheet sijapata hata Du mmoja.
Game inaisha nimepigwa 4-0 na joho langu mkononi.


