ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Nilipoteza cheti changu cha kidato cha nne Cha 1990
Necta wanasema hawatoi tena vyeti vilivyopotea vya kuanzia mwaka 2000 kurudi nyuma,isipokua baada ya kujiridhisha watampa wao mwajiri statement of results direct
Upande wa Sekretarieti ya Ajira hapo Utumishi katika matangazo yao ya kazi wanasisitiza mwombaji aambatanishe cheti na si statement of results!
Tayari hapo kuna makinzano ambayo yamenichanganya Mimi na pengine wengine wengi
Naomba aliyepitia changamoto hii anisaidie jinsi gani alitatua hili maana sasa tunashindwa hata kuomba kazi kwa kukosa vyeti
Masada tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Necta wanasema hawatoi tena vyeti vilivyopotea vya kuanzia mwaka 2000 kurudi nyuma,isipokua baada ya kujiridhisha watampa wao mwajiri statement of results direct
Upande wa Sekretarieti ya Ajira hapo Utumishi katika matangazo yao ya kazi wanasisitiza mwombaji aambatanishe cheti na si statement of results!
Tayari hapo kuna makinzano ambayo yamenichanganya Mimi na pengine wengine wengi
Naomba aliyepitia changamoto hii anisaidie jinsi gani alitatua hili maana sasa tunashindwa hata kuomba kazi kwa kukosa vyeti
Masada tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app