Tuliopata barclays bank lead generator

Tuliopata barclays bank lead generator

Didybabuuh

Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
13
Reaction score
0
Jaman naomba kuuliza wale tuliopata Barclays bank tukaambiwa tutapigiwa simu siku ya kuanza kazi vp kuna mtu ameshapigiwa teyari? au mwenye taarifa yeyoto plz inform
 
guys tujaribuni kua serious na watu wazima mtuakipost kitu msilete utani sana kama huna information nacho jst be kimya thanx.
 
guys tujaribuni kua serious na watu wazima mtuakipost kitu msilete utani sana kama huna information nacho jst be kimya thanx.

Kuwa mpole kijana JF inavituko vingi, kuna watu humu wapo kwa ajili ya kuchezea akili za watu
 
Kwa taarifa nilizonazo kutoka kwa mmoja wa HRs pale ni kwamba wanaplan kutuika wiki hii, xo subir 2one km itakuwa ivo cz alisema wanamalizia kuweka mambo sawa afu wata2ita soon.
 
nashukuru sana kwa taarifa ndugu yangu ntakutafuta hivi ni za mkoa au hapahapa?
 
Jaman naomba kuuliza wale tuliopata Barclays bank tukaambiwa tutapigiwa simu siku ya kuanza kazi vp kuna mtu ameshapigiwa teyari? au mwenye taarifa yeyoto plz inform

Mi shemeji yangu kashaitwa kapangiwa headquarter, rafiki yake mmoja kapangiwa Magomeni na mwingine Zanzibar. sasa sijui kama mlifanya interview pamoja au yeye aliwatangulia.
 
nashukuru sana kwa taarifa ndugu yangu ntakutafuta hivi ni za mkoa au hapahapa?

Ni mikoa yote kwa branches zao including hapa. Ila nmeona juzi wametangaza tena ila kwa hapa hapa, xa nadhan labda watu wengi walihitaji mikoan ivo kwa hapa wakawa wachache xo wameamua kuongeza.
 
Mi shemeji yangu kashaitwa kapangiwa headquarter, rafiki yake mmoja kapangiwa Magomeni na mwingine Zanzibar. sasa sijui kama mlifanya interview pamoja au yeye aliwatangulia.

Kuna wengine walitangulia kufanya interview mkubwa, kwani wameitwa lini? Na je wameshaanza huko walikopangiwa?
 
mm nilifanya siku ya j3 interview sikumbuki trh vzr but 2 weeks zimepita ni nilipeleka passport na barua siku ya j5 yake mmh tusubiri tu watatupigia ww ulifanya siku gani kwani?
 
Hizi ni ajira zile 1m za kikwetee
Mlifanimiwa endeleeni kumtukanaaa
 
Hizi ni ajira zile 1m za kikwetee
Mlifanimiwa endeleeni kumtukanaaa
Sijaelewa una maana gani mkuu....embu andika vizur bac au fafanua kabisa maana yake make naona kama una point fulan ambayo hujaiandika vizuri tu.
 
Kiongoz, kuanza ni february, kwaiyo subiri utapigiwa cm cku yoyote, contracts ndo bado zinaandaliwa.
 
Mmh hizo taarifa umezipata wapi ww? Mbona mm niliambiwa ni mwez huu trh 10?
 
Kuna wengine walitangulia kufanya interview mkubwa, kwani wameitwa lini? Na je wameshaanza huko walikopangiwa?

Naam, wameshaanza. Mwisho wa mwezi watapokea mshahara wao wa kwanza.
 
Uanze tar10 akati ata contract hujasign na hujui ulikopangwa?
 
Bado subirini mtaitwa tu.na training bado labda wiki ijayo au wiki linalofata wanawataka wengi tu na anaye taka km hajaomba aombe au apeleke cv yake kwa mkono pale branch yao ya Morroco mlipofanyia interview na hao anaosema wa zanzibar au arusha sio kwa post hiyo labda nyingine.
 
Back
Top Bottom