njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Enzi hizo bana kabla ya kujengwa gombani pemba na ally hassan mwinyi tabora(viilikuwa moto enzi hizo)unaambiwa uwanja mzuri ulikuwa ccm kirumba ukifatiwa na sheikh amri abeid arusha maana wa dar es salaam ulikuwa ni kituko cha afrika,ismailia walisemaga ni uwanja wa kuchezea farasi kule kwao
Nikiwa mtoto na ball boy nimeshuhudia michezo ya AICC ilikuwa mikubwa sana kama sportspesa cup...nikashuhudia michezo ya mashirika ya posta afrika mashariki nikawaona watu hatari kama sam onyango jogooo
nikashudia team ya wanawake ya sweden ikicheza na arusha combain wanaume wakala kama 7 -0 nikashuhudia mohamed mwameja (akiwa sentahafu wa ndovu) akizaa na jirani yangu nilikuwa namuita aunt juddy mtoto wa mmiliki wa kitundu bar bar siku hizi shivaz
Nikawa rafiki(wa kushikwa mkono kuingizwa uwanjani mambo ya enzi hizo watoto ukishikwa mkono unaingia bure) wa HAMIS GAGA GAGARINO wakati huo ndovu / pilsner wanaishi mashele guest ,duh na MOHAMED BOB CHOPA, God bless those days,wachezaji wakipita mtaani (kumbuka hawakuwaga na magari )tulikuwa watoto tunaunga tela kuwashangilia .
Kikubwa zaidi hata michezo ya castle cup ilikuwa pia inaletwa arusha usisahau kulikuwa na kitu kinaitwa MOUNT MERU MARATHON nazungumzia marathon ya ukweli siyo magumashi ya rock city marathon au kili marathon huku niliwashuhudia kina BARIE,JUMA IKANGAA... kipindi hicho Tanzania iko juu ya kenya kwenye riadha
Uwanja hadi sehemu ya kukimbilia ulikuwa standard una vikokotoo vidooogo sijui vichangarawe vimesagwa vyeusi leo naona picha hizi toka Arusha,uwanja pembeni vumbi kama lijiwanja la VILLAGE ingawa sijaenda for years roho imeniuma sana nimewakumbuka hawa wazee waliokuwa wanatunza uwanja...ALLY MTUMWA,MZEE GEOFREY,BOKKASA KAJEMBE...
SHAME ON YOU CCM ARUSHA
Nikiwa mtoto na ball boy nimeshuhudia michezo ya AICC ilikuwa mikubwa sana kama sportspesa cup...nikashuhudia michezo ya mashirika ya posta afrika mashariki nikawaona watu hatari kama sam onyango jogooo
nikashudia team ya wanawake ya sweden ikicheza na arusha combain wanaume wakala kama 7 -0 nikashuhudia mohamed mwameja (akiwa sentahafu wa ndovu) akizaa na jirani yangu nilikuwa namuita aunt juddy mtoto wa mmiliki wa kitundu bar bar siku hizi shivaz
Nikawa rafiki(wa kushikwa mkono kuingizwa uwanjani mambo ya enzi hizo watoto ukishikwa mkono unaingia bure) wa HAMIS GAGA GAGARINO wakati huo ndovu / pilsner wanaishi mashele guest ,duh na MOHAMED BOB CHOPA, God bless those days,wachezaji wakipita mtaani (kumbuka hawakuwaga na magari )tulikuwa watoto tunaunga tela kuwashangilia .
Kikubwa zaidi hata michezo ya castle cup ilikuwa pia inaletwa arusha usisahau kulikuwa na kitu kinaitwa MOUNT MERU MARATHON nazungumzia marathon ya ukweli siyo magumashi ya rock city marathon au kili marathon huku niliwashuhudia kina BARIE,JUMA IKANGAA... kipindi hicho Tanzania iko juu ya kenya kwenye riadha
Uwanja hadi sehemu ya kukimbilia ulikuwa standard una vikokotoo vidooogo sijui vichangarawe vimesagwa vyeusi leo naona picha hizi toka Arusha,uwanja pembeni vumbi kama lijiwanja la VILLAGE ingawa sijaenda for years roho imeniuma sana nimewakumbuka hawa wazee waliokuwa wanatunza uwanja...ALLY MTUMWA,MZEE GEOFREY,BOKKASA KAJEMBE...
SHAME ON YOU CCM ARUSHA