Tuliofoji vyeti tukutane hapa

Tuliofoji vyeti tukutane hapa

Nilifoji cheti na sasa naendelea kuchapa kazi kama mkuu alivo sema.

Tuendelee kuchapa kazii
 
Tz waliofoji vieti niwengi sana, na rahisi analifaham sana hilo. nawafaham watu wengi sana walifoki vieti na Leo wengi wao wana kazi nzuri nzuri. ilo siotatizo la MAKONDA ao MAGUFULI. Bali nimfumo wa serekali zilizo pita. huko jeshini ndio usisemi warundi nawa nyarwanda wamejazana huku, kwa style iyoiyo yaku foji vieti. so tuchukulie nijambo lakawaida.
 
Tz waliofoji vieti niwengi sana, na rahisi analifaham sana hilo. nawafaham watu wengi sana walifoki vieti na Leo wengi wao wana kazi nzuri nzuri. ilo siotatizo la MAKONDA ao MAGUFULI. Bali nimfumo wa serekali zilizo pita. huko jeshini ndio usisemi warundi nawa nyarwanda wamejazana huku, kwa style iyoiyo yaku foji vieti. so tuchukulie nijambo lakawaida.
nasikitika sana wale waliokimbia mapema baada ya tangazo la mkuu kutoka .sisi tulio baki tuna peta tu kwa raha zetu chini ya ungalizi wa mkuu wa nchi
 
Tuliofoji naomba tuache kujifichaficha hebu tujitokezen waungwana kumtetea m/kiti wetu Albert/Paul na huu umoja una nguvu sana kwa sababu una baraka zote za mkemia mwenye Phd yake sasa sijui nae ni miongoni mwetu ila kwa sasa M/kit wetu ni Bashite nilijua tu mtaanza kututamani...msisahau pia tuko na member mwenzetu hapa jf anaejiita Cococh..karibun hakuna kiingilio
tena waambie wasiwe na wasiwasi mambo yametulia mwenye kiti wetu kasharekebisha kila kitu mambo mtelemko yani tupigeni kazi kwa kwenda mbele
 
Hoja itakuwa na maana sana kama tu na wale waliofukuzwa kazini na vyuoni nao watarudishwa kazini au ktk vyuo vyao. Maana awali ilionekana kufoji ni tatizo na wengi pia wamefunguliwa mashitaka sasa iweje wengine.
wakati wanafukuzwa umoja wetu ulikua aujatengemaa lakini kwa mambo yote yapo sawa na wote watajulishwa na watarudi mavyuoni na makazini kama kawaida.
 
*Bongowood2017*
season 1-madawa ya kulevya..
season 2-vyeti feki vya paul makonda
season 3-mtoto feki wa gwajima
season 4-uvamizi clouds
season 5-Makonda chapa kazi
season 6-tume ya nape kufanya kazi
season 7-Napee kwishneyi
Season 8-Magazeti yamkera magufuli
season 9- Nape anyooshewa bastola
season 10- magufuli ana shoot scene mpya bandarini
season 11-Kinana anatumwa kutibiwa India
usikose season 12*
yote yalikua trailer picha lenyewe linakuja karibuni'karibuni, watu wapo location
 
Kwa maendeleo tunayoyaona Dar inafaa sana mikia yote Tanzania iongozwe na watu waliopata fafafa form four.
 
Back
Top Bottom