Tuliofoji vyeti tukutane hapa

kubwa jinga jr

JF-Expert Member
Mar 19, 2017
292
309
Kwanza kidumu chama chetu chama cha mapinduzi
ccm oyeeeeee!!!!

kutokana hali inavyoendelea hapa nchini nimeona tuitane hapa tuliofoji vyeti kusimama kidete kumtetea ndugu yetu makonda (bashite)kama mnavyomuita katika kadhia hii ya kufoji vyeti,

Nafikiri tusimame kwa kauli moja kusema sisi tunaweza kama rais alivyoonyesha imani kubwa kwa ndugu yetu makonda ,ndio maana tumegawanyika katika idara zote za serikali kuanzia polisi,madaktari,na walimu na kwengineko hata jeshini pia tupo,

Tumshukuru ndugu rais kutuona sisi na kuwaacha hao wenye vyeti vyao original,kwani vinavyofanya kazi si vyeti ni mtu na pia tunaangalia utendaji wake uliotukuka kazini,

Kwani nyinyi wenye vyeti original safari hii mtazunguuka na mtakaa sana kwenye mabenchi mpaka makalio yenu yaote sugu na vyeti vyenu mkafungue maandazi

Na mkuu keshasema haangaiki na vipost vyenu na mwaka huu hakuna pa kukimbilia

CCM oyeee
Nawasilisha
 
we mchokonoe kashasema anajiamini, hapangiwi na mtu cha kufanya and above all HAJARIBIWI
 
Eti magufuli kachukizwa na Heading za magazeti ya leo, Anadai jamaa aliyetoa bastola alifanya hivyo kwa utashi wake , serikali haihusiki na kile alichofanya.

Nadhani alitegemea sinema yake ya kichina ya jana itapewa promo. Cha ajabu ilipoteza mvuto kabla haijafika kwa walaji.
 
Kwanza kidumu chama chetu chama cha mapinduzi
ccm oyeeeeee!!!!

kutokana hali inavyoendelea hapa nchini nimeona tuitane hapa tuliofoji vyeti kusimama kidete kumtetea ndugu yetu makonda (bashite)kama mnavyomuita katika kadhia hii ya kufoji vyeti,

Nafikiri tusimame kwa kauli moja kusema sisi tunaweza kama rais alivyoonyesha imani kubwa kwa ndugu yetu makonda ,ndio maana tumegawanyika katika idara zote za serikali kuanzia polisi,madaktari,na walimu na kwengineko hata jeshini pia tupo,

Tumshukuru ndugu rais kutuona sisi na kuwaacha hao wenye vyeti vyao original,kwani vinavyofanya kazi si vyeti ni mtu na pia tunaangalia utendaji wake uliotukuka kazini,

Kwani nyinyi wenye vyeti original safari hii mtazunguuka na mtakaa sana kwenye mabenchi mpaka makalio yenu yaote sugu na vyeti vyenu mkafungue maandazi

Na mkuu keshasema haangaiki na vipost vyenu na mwaka huu hakuna pa kukimbilia

CCM oyeee
Nawasilisha

Hahaaa!!! Ujumbe umefika, asante kwa burudani.
 
Back
Top Bottom