kubwa jinga jr
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 292
- 309
Kwanza kidumu chama chetu chama cha mapinduzi
ccm oyeeeeee!!!!
kutokana hali inavyoendelea hapa nchini nimeona tuitane hapa tuliofoji vyeti kusimama kidete kumtetea ndugu yetu makonda (bashite)kama mnavyomuita katika kadhia hii ya kufoji vyeti,
Nafikiri tusimame kwa kauli moja kusema sisi tunaweza kama rais alivyoonyesha imani kubwa kwa ndugu yetu makonda ,ndio maana tumegawanyika katika idara zote za serikali kuanzia polisi,madaktari,na walimu na kwengineko hata jeshini pia tupo,
Tumshukuru ndugu rais kutuona sisi na kuwaacha hao wenye vyeti vyao original,kwani vinavyofanya kazi si vyeti ni mtu na pia tunaangalia utendaji wake uliotukuka kazini,
Kwani nyinyi wenye vyeti original safari hii mtazunguuka na mtakaa sana kwenye mabenchi mpaka makalio yenu yaote sugu na vyeti vyenu mkafungue maandazi
Na mkuu keshasema haangaiki na vipost vyenu na mwaka huu hakuna pa kukimbilia
CCM oyeee
Nawasilisha
ccm oyeeeeee!!!!
kutokana hali inavyoendelea hapa nchini nimeona tuitane hapa tuliofoji vyeti kusimama kidete kumtetea ndugu yetu makonda (bashite)kama mnavyomuita katika kadhia hii ya kufoji vyeti,
Nafikiri tusimame kwa kauli moja kusema sisi tunaweza kama rais alivyoonyesha imani kubwa kwa ndugu yetu makonda ,ndio maana tumegawanyika katika idara zote za serikali kuanzia polisi,madaktari,na walimu na kwengineko hata jeshini pia tupo,
Tumshukuru ndugu rais kutuona sisi na kuwaacha hao wenye vyeti vyao original,kwani vinavyofanya kazi si vyeti ni mtu na pia tunaangalia utendaji wake uliotukuka kazini,
Kwani nyinyi wenye vyeti original safari hii mtazunguuka na mtakaa sana kwenye mabenchi mpaka makalio yenu yaote sugu na vyeti vyenu mkafungue maandazi
Na mkuu keshasema haangaiki na vipost vyenu na mwaka huu hakuna pa kukimbilia
CCM oyeee
Nawasilisha