Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

HZU

Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
29
Reaction score
4
Karibuni tubadilishane mawzo huku tukisubiri siku ya kwenda chuo
 
Hata mm ckuyaona hata sielewi itakuaje
 
matokeo mnayapataje mbona nikifungua cas naambiwa nimeshachaguliwa ila nisubiri yatangazwe
 
Mbona Nasikia Udom Maji Yanaleta Dag
 
Yametoka lini maan m nimeskia batchelor wanatoa kesho majina ,
na ume apply Tcu au Nacte
 
Jiandaeni kulipa pesa ya bima laki nzima ilihali wenzenu wa vyuo vingine wanalipa elfu hamsini

UDOM bana,chenga sana pale
 
UDOM hostel zakutosha,mazingira mazuri ya kusomea,internet ni full kwa wapenda movie ni kudownload tumaseries,cafetaria zakutosha,bata linalika sana club 7,club 84,maisha club,..totoz za cbe,mipango na st.john kibao..mungu akupe nini tena?
 
UDOM hostel zakutosha,mazingira mazuri ya kusomea,internet ni full kwa wapenda movie ni kudownload tumaseries,cafetaria zakutosha,bata linalika sana club 7,club 84,maisha club,..totoz za cbe,mipango na st.john kibao..mungu akupe nini tena?

Nilifikiri utawaambia library nzuri ina vitabu vya kutosha
Na internet ipo kwaajili ua research nakudownload vitabu na kusoma vitabu online kama google books.
Kwahali yakula bata chuo nafikiri ushauri waajabu huo.
 
Nilifikiri utawaambia library nzuri ina vitabu vya kutosha
Na internet ipo kwaajili ua research nakudownload vitabu na kusoma vitabu online kama google books.
Kwahali yakula bata chuo nafikiri ushauri waajabu huo.

Yani sawa na nikuonyeshe mia 5,na wewe uigeuze upande mwingine itabadilika nakuwa elfu 1?use your damn brain man!wote hao wakifika chuo ni matures they will handle business zao..wakisoma haya..wasipo soma shauri zao..
 
Nilifikiri utawaambia library nzuri ina vitabu vya kutosha
Na internet ipo kwaajili ua research nakudownload vitabu na kusoma vitabu online kama google books.
Kwahali yakula bata chuo nafikiri ushauri waajabu huo.
>Library ipo japo vitabu havipo vya kutosha na vyenye kiwango

>vyumba vizuri hamna haja ya kubebana, omba tu Mungu upate roommates mnaoendana tabia

> madarasa yapo ya kutosha hata for private study haisumbui
 
Back
Top Bottom