Tuliochaguliwa IFM tupeane updates hapa

Tuliochaguliwa IFM tupeane updates hapa

Hivii wakuu usipo ripot chuon wala kujisajili ..kwa sababu ya kukosa mkopo kuna tatizo lolote ukiomba mwakan chuo na mkopo upyaa???? Kwan mpaka sasa sina mkopo na udsm ilee naiona inaniacha sina namna
Nenda kafanye usaili kwasababu ni bure halaf andika barua ya kusitisha mwaka. Ukishindwa hilo basi nenda tcu ukajaze fomu ili wakutoe kwenye system halaf mwakan utaanza upya
 
Back
Top Bottom