NoooopMimi nmeshaanza kuzoea maisha ya kisela naona habari ya kuoa tena kama inapotea kila siku
Pole sanaMke wangu alitangulia mbele ya haki
Naamini upande wa mwanamke haiwezi kuwa kizuizi maana mara kibao tumekuwa tukikorofishana na anayapeleka huko na wao wanasema sisi ndio wenye maamuzi
Na mbaya zaidi hata huko kwao wanaachwa sana wanawake wako single tu
Daahhhh pole sana mkuuu !!!.Mke wangu alitangulia mbele ya haki
Karibu mkuu. Me nimeanza hii safari toka 1January baada ya kushudia akigegedwa.
Mke wangu alitangulia mbele ya haki
Pole sana kwa msibaMke wangu alitangulia mbele ya haki