Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 3,034
- 4,272
- Thread starter
- #61
sawa Dada ila nyinyi hamchelewa kutuita wanaume wote mbwa
Be you
Chanzo ni sisi wanaume.
Happy dude

sawa Dada ila nyinyi hamchelewa kutuita wanaume wote mbwa
Be you

miezi saba bado sana..mtoto afikishe mwaka ivii ndo utajua vzri kama damu zinaendana au ulikuwa mgeni
Sent using Jamii Forums mobile app

hamna kipya nitakachoona juu yake maana tunajuana madhaifu yetu ingawa hatujui ya mbeleni ila Mungu ni mkubwa wa kila kitu hapa duniani naamini hamna kitu cha tofauti kitakachotokea baina yetu..Yuko kat ya miguu yako ni ile soseji inabembeaAsumani ni jina la kike au kiume ??? Alfu babe wangu haitwi jina hilo ...!
Happy dude
![]()
Kuna siku utakuja kujishangaa🤣🤣🤣🤣 Nyie ndo Mnalialia kila siku mnajifanya Mnayajua sana mambo kumbe hakuna lolote! Kama Unampenda mtu we Mpende tuu sio unajimwambafai eti ooh ngoja nikaze asinione Fala sasa unamkomesha nani? Unabaki unaumiaumia Kimoyomoyo! Maisha yenyewe Mafupi Unajibana bana yanini? Unaogopa kufanya jambo la kheri ukiogopa Majanga yatatokea kwa mtindo huo Utaishi kwa Uoga maisha yako yoote maana kila kitu utajifanya Mjuaji unachukua tahadhari
Sent from my iPhone using JamiiForums

Aisee uyuu mtto wa kinyasa anataka kunichanganya kabisa we have one mouth now ila dah mapenzi yake ni matamu hadi uyu ambaye nilikuwa naye kabla ya kumpata yeye nafikiria kuachana naye
Sent using Jamii Forums mobile app


Miezi miwili bado mapya sana. But in the words of John Cena " lasting relationship takes work" .... all the bestHahahaha.. haya sio mapya mkuu. Tuna miezi yapata miwili sasa. Ngoja nimepnde huyu msichana maana hakuna jinsi
Happy dude
![]()
Miezi miwili bado mapya sana. But in the words of John Cena " lasting relationship takes work" .... all the best
Sent using Jamii Forums mobile app


nipo hapa kusoma comments endeleeni wachangiaji

HahahaTulikutana siku moja, mwaka jana, siku hiyohiyo tunda likaliwa kimasihara mapenzi yamekolea hadi tunategemea kupata mtoto baada ya miezi kadhaa
Tuna miezi 7 hadi sasa, familia zinatutambua pande zote mbili
Nakupenda sana baba k wangu
Kilichotushawishi naona damu zetu tu zimeendana from the first day we met