Tulio kwenye mapenzi moto moto

Tulio kwenye mapenzi moto moto

miezi saba bado sana.. mtoto afikishe mwaka ivii ndo utajua vzri kama damu zinaendana au ulikuwa mgeni

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaliyokukuta wewe sio wote tutakutana yao hamna kipya nitakachoona juu yake maana tunajuana madhaifu yetu ingawa hatujui ya mbeleni ila Mungu ni mkubwa wa kila kitu hapa duniani naamini hamna kitu cha tofauti kitakachotokea baina yetu..
 
🤣🤣🤣🤣 Nyie ndo Mnalialia kila siku mnajifanya Mnayajua sana mambo kumbe hakuna lolote! Kama Unampenda mtu we Mpende tuu sio unajimwambafai eti ooh ngoja nikaze asinione Fala sasa unamkomesha nani? Unabaki unaumiaumia Kimoyomoyo! Maisha yenyewe Mafupi Unajibana bana yanini? Unaogopa kufanya jambo la kheri ukiogopa Majanga yatatokea kwa mtindo huo Utaishi kwa Uoga maisha yako yoote maana kila kitu utajifanya Mjuaji unachukua tahadhari


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna siku utakuja kujishangaa
 
Aisee uyuu mtto wa kinyasa anataka kunichanganya kabisa we have one mouth now ila dah mapenzi yake ni matamu hadi uyu ambaye nilikuwa naye kabla ya kumpata yeye nafikiria kuachana naye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee uyuu mtto wa kinyasa anataka kunichanganya kabisa we have one mouth now ila dah mapenzi yake ni matamu hadi uyu ambaye nilikuwa naye kabla ya kumpata yeye nafikiria kuachana naye

Sent using Jamii Forums mobile app

Tulia na mwanzo mzee, huyu mpya humjui mkuu. Usiteme jojo kwa karanga za kuonjeshwa


Happy dude
 
Tulikutana siku moja, mwaka jana, siku hiyohiyo tunda likaliwa kimasihara mapenzi yamekolea hadi tunategemea kupata mtoto baada ya miezi kadhaa

Tuna miezi 7 hadi sasa, familia zinatutambua pande zote mbili

Nakupenda sana baba k wangu

Kilichotushawishi naona damu zetu tu zimeendana from the first day we met
Hahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom