Tulio kwenye mapenzi moto moto

Tulio kwenye mapenzi moto moto

🤣🤣🤣🤣 Nyie ndo Mnalialia kila siku mnajifanya Mnayajua sana mambo kumbe hakuna lolote! Kama Unampenda mtu we Mpende tuu sio unajimwambafai eti ooh ngoja nikaze asinione Fala sasa unamkomesha nani? Unabaki unaumiaumia Kimoyomoyo! Maisha yenyewe Mafupi Unajibana bana yanini? Unaogopa kufanya jambo la kheri ukiogopa Majanga yatatokea kwa mtindo huo Utaishi kwa Uoga maisha yako yoote maana kila kitu utajifanya Mjuaji unachukua tahadhari


Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo iyo fikra ya kwamba tunataka kumkomoa mtu.... Hizo ni fikra potofu. Unaangalia uhalisia wa mambo. Yaani be careful na hawa ladies wewe.... Empires have fallen becoz of a woman.
 
Mimi nilimuomba rafiki yake number akanipa ya rafiki yake (ambaye ndo mpenzi wangu sasa ivi)nilivogundua sio yeye nilimuomba number baada ya kuniuliza number zangu umetoa wapi ikabidi nibadilishie gia angani.sasa tuna mtoto mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za Jioni hii wakuu na watz wenzangu, poleni kwa majukumu ya siku nzima na wale ambao ndio mmeingia kazini poleni na kazi pia.
Nimeweka huu uzi tujaribu kushirikiana kwenye hili jambo, Tuambizane, Uliwezaje kumshawishi mpenzi wako akakubalia mkawa wapenzi hadi sasa.

Naanza na mimi mwenyewe,Babe wangu nilikutana naye Job nilipo sasa hivi. Nilimkuta baadae tukawa marafiki na nikaanza kumzoea zoea nikaanza kushusha mistari. Nilipata tabu sana kumuaminisha kama nampenda kweli kweli ila kupitia vitendo vyamgu kwa zaidi ya miezi miwili nikawa nimefanikiwa kula tunda na sasa tupo fresh. Nilimshawishi kwa mpenzi wangu kukubali kuwa namimi kwa kuona nia yangu na utanashati wangu na vizawadi vidoho vidogo kama Ice cream na kipochi kidogo nilichomnunulia akaingia chomboni

Karibuni


Happy dude
Asumani weweee kichwa wazi mwachie Redpanther

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikutana siku moja, mwaka jana, siku hiyohiyo tunda likaliwa kimasihara mapenzi yamekolea hadi tunategemea kupata mtoto baada ya miezi kadhaa

Tuna miezi 7 hadi sasa, familia zinatutambua pande zote mbili

Nakupenda sana baba k wangu

Kilichotushawishi naona damu zetu tu zimeendana from the first day we met
Kipochi unyoya kikapekuliwa na asumani kichwa wazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshamla huyo sana


Sent from my iPhone using JamiiForums

We jamaa fala kweli, kwahiyo unataka kumuonyesha jamaa kuwa hajiwezi kupiga sound.! Mpe maujanja naye akaoshe rungu


Happy dude
 
Wazinzi kwenye ubora wenu

Falaaa ! Uzinzi afanye dada yako uje utuite wazinzi.! Hata hivyo nyie mnaojiita sio wazinzi mbinguni mtapasikia tu.


Hivi uzinzi ndio ule kunyandua mke ya mkuu au mume ya mtu ? Sisi bado hatujaoana ila tupo kwenye harakati za kuoana


Happy dude
 
Tulikutana siku moja, mwaka jana, siku hiyohiyo tunda likaliwa kimasihara mapenzi yamekolea hadi tunategemea kupata mtoto baada ya miezi kadhaa

Tuna miezi 7 hadi sasa, familia zinatutambua pande zote mbili

Nakupenda sana baba k wangu

Kilichotushawishi naona damu zetu tu zimeendana from the first day we met
miezi saba bado sana.. mtoto afikishe mwaka ivii ndo utajua vzri kama damu zinaendana au ulikuwa mgeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Falaaa ! Uzinzi afanye dada yako uje utuite wazinzi.! Hata hivyo nyie mnaojiita sio wazinzi mbinguni mtapasikia tu.


Hivi uzinzi ndio ule kunyandua mke ya mkuu au mume ya mtu ? Sisi bado hatujaoana ila tupo kwenye harakati za kuoana


Happy dude

Mbona Povu
 
Mtoto magret uyo,ukimuona utadhan kapaka make_up mwili mzima macho ka yana lenzi zote,mbinuko na mbonyeo... Akicheka sasa ka mdada wa reception 5*hotel..
 
Mimi nilimuomba rafiki yake number akanipa ya rafiki yake (ambaye ndo mpenzi wangu sasa ivi)nilivogundua sio yeye nilimuomba number baada ya kuniuliza number zangu umetoa wapi ikabidi nibadilishie gia angani.sasa tuna mtoto mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app

Hongereni sana.! Mie mwenyewe nataka nifanye mafekeche tupate katoto japo kamoja tupumzike na tumtafutie Maisha mtoto wetu


Happy dude
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom