Tulio kwenye mapenzi moto moto

Tulio kwenye mapenzi moto moto

Watu wanaojiwekea guarantee kwenye mapenzi.
So pathetic!! Badae ndo mnakuja kulia lia hapa

Life is today, Be happy and thankful for whatever you have at hand and for me I don’t give a damn if it ll end in tears or in Joy


Happy dude
 
Kwahyo ulitaka wajiwekee Guarantee kuwa wataachana? Acha wivu wa Kike, acha watu wapendane wafurahie Maisha! Nyie ndo wale watu Mtu akimpenda sana Mpenzi wake mnasema karogwa sasa Mnataka amchukie au? Wabongo bhana yani Mkipendana sana Mnaonekana kama malimbukeni eti bado wageni wa mapenzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hii nchi ya Kis£nge sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Povu la nini mkuu embu kaa kwanza chini kunywa maji upumzike.
Mi sio kwamba nasema wataachana hakuna la hasha,hakuna anayejua kesho.kitu ambacho nimeona mtoa mada ameingia mazima miguu miwili hapo akinaswa kutoka asahau.
Halafu kutegemea binadamu mkuu hatari people changes bora kuwa na backup plan
 
Povu la nini mkuu embu kaa kwanza chini kunywa maji upumzike.
Mi sio kwamba nasema wataachana hakuna la hasha,hakuna anayejua kesho.kitu ambacho nimeona mtoa mada ameingia mazima miguu miwili hapo akinaswa kutoka asahau.
Halafu kutegemea binadamu mkuu hatari people changes bora kuwa na backup plan
Keyword; Back up, nimekupata mkuu


Happy dude
 
Wee naona bado huyajua mambo ngoja siku utakuja kulilia kwa choo

🤣🤣🤣🤣 Nyie ndo Mnalialia kila siku mnajifanya Mnayajua sana mambo kumbe hakuna lolote! Kama Unampenda mtu we Mpende tuu sio unajimwambafai eti ooh ngoja nikaze asinione Fala sasa unamkomesha nani? Unabaki unaumiaumia Kimoyomoyo! Maisha yenyewe Mafupi Unajibana bana yanini? Unaogopa kufanya jambo la kheri ukiogopa Majanga yatatokea kwa mtindo huo Utaishi kwa Uoga maisha yako yoote maana kila kitu utajifanya Mjuaji unachukua tahadhari


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tulikutana siku moja, mwaka jana, siku hiyohiyo tunda likaliwa kimasihara mapenzi yamekolea hadi tunategemea kupata mtoto baada ya miezi kadhaa

Tuna miezi 7 hadi sasa, familia zinatutambua pande zote mbili

Nakupenda sana baba k wangu

Kilichotushawishi naona damu zetu tu zimeendana from the first day we met
sawa Dada ila nyinyi hamchelewa kutuita wanaume wote mbwa

Be you
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom