Tulikotoka nakumbuka au ulikuwepo?

Tulikotoka nakumbuka au ulikuwepo?

MT255

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2012
Posts
3,721
Reaction score
4,995
837b4cce1820ef4be5b23503dc7e042b.jpg


Enzi hizo maisha yalikuwa matamu, Dar es salaam ilikuwa inanukia Ukiona maghorofa msajili wa majumba tu, dah nakumbuka zamani.
 
837b4cce1820ef4be5b23503dc7e042b.jpg
Enzi hizo maisha yalikuwa matamu....Dar es salaam ilikuwa inanukia...ukiona maghorofa msajili wa majumba tu...dah nakumbuku zamani
mimi nilikuta uda ina ticket za mashine,ukipanda mlango wa nyuma kuna kisehemu maalum cha kondakta,nilikuwa nanyoosha mkono maanake hata konda simuoni kwa ufupi!
 
Nyie wote mlikuwa bado. Kabla ya UDA, ilikuwepo DMT. Konda alipita kati akikatisha tiketi kwa mashine ya kuzungusha.
DMT ilivunjwa na kutengwa kampuni mbili za KAMATA (Kampuni ya Mabasi ya Taifa) na UDA (Usafiri Dar es Salaam).
Sasa endeleeni kuanzia hapo!?
 
Khaaaaa watu wa zamani mnapenda sifa?
Na sie utafika wakati wetu wa kujidai.....
 
Kwan nifah unataka kunambia kwa umri ulonao huitwi bibi wewe
 
Back
Top Bottom