Revola
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 1,408
- 1,157
- Thread starter
- #1,361
Hii ilikuwa noma sana brother21jump street boys enzi hizo mtaa tv ilikuwa kwetu tu ilokuwa hitach
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ilikuwa noma sana brother21jump street boys enzi hizo mtaa tv ilikuwa kwetu tu ilokuwa hitach
Si alisemaga atasoma PGM awe rubani kweli maisha hayatabiriki naona na utoto piaedi sultan saizi anafanyakazi benki NBC
Noma sana na Bi ChauDTV Majuto mzee small la mgambo la mgambo Enzi hzo kinondoni mm bado chalii kbsa makonda wa kariakoo mwenge wote walikuwa wananijua
Nani anakumbuka biafra kulikuwaga na bembea hapo michezo ya watoto ile
Kuna series moja ya kichawi ulioneshwa ITV miaka ya 2002 hadi 2008 kina nimelisahau nikumbusheniWana jamvi leo nimeona japo turevew miaka hii ya nyuma vipindi vya television enzi zile 1994 kuibukia miaka ya 2000. Binafsi nakumbuka mbali sana hasa vipindi vya television ITV mfano Egoli place of Gold, 21 jump Street, Time trax, movie ya V, Rino Renz, vichekesho Kama Fresh Prince of bell air, family matters, Living Single ya Queen Latifa, Tausi ya mjuba, Vitimbi(masakuu, Ojwang' Othrong'ong'o) Vioja Mahakamani, Mambo hayo ya kina Waridi, Sumbi, bocha na Aisha. Pia kulikuwa na Tamthiliya kama The young and the restless, Sun seat beach, na Acapulco bay.
Aidha nakumbuka tulikuwa tunaangalia UEFA kupitia CFI(Canal France International). Matangazo nakumbuka kama Revola, komoa, lotion ya Jambo, hebu vingine mnisaidie CTN na DTV. Je kipindi kile watangazaji unawakumbuka? Wa ITV, CTN, na DTV. Mimi kwa itv namkumbuka Suzan Mongi nilimpenda sana sana. Karibuni tuflash back jamani.
Nikama movie au? Inaitwa VKuna series moja ya kichawi ulioneshwa ITV miaka ya 2002 hadi 2008 kina nimelisahau nikumbusheni
Naikumbuka hii, ingine iliitwa group 4ITV movie ya Chuck Norris nazan inaitwa rangers yupo jamaa black
Jumong
Walker texas rangerITV movie ya Chuck Norris nazan inaitwa rangers yupo jamaa black
Jumong
Yule askari LuisTamthilia ya The passion, nmemkumbuka timmy, bibi mchawi tabitha, kay, miguel, simone
Pia The crow
Ilikuwa inaitwa WALKER TEXAS RANGERS NaikumbukaITV movie ya Chuck Norris nazan inaitwa rangers yupo jamaa black
Jumong
Kuna series moja ya kichawi ulioneshwa ITV miaka ya 2002 hadi 2008 kina nimelisahau nikumbusheni
The Passion ya Bi Tabitha na Tim??Kuna series moja ya kichawi ulioneshwa ITV miaka ya 2002 hadi 2008 kina nimelisahau nikumbusheni
Texas RangersITV movie ya Chuck Norris nazan inaitwa rangers yupo jamaa black
Jumong
Beauty and the beast 1987.ITV kulikuwa na Tamthilia fulani ya kikenya iliitwa Tamasha, movie flan ya jamaa aliitwa Vicent na alikuwa na sura ya cjui paka cjui simba, cheka na ctn ya kna mzee small,futbol mundial,
sunil deol, boby deol.CTN wakat huo nakumbuka ilikuwa jumapili saa nane mchana ilikuwa wanaweka picha za kihind!!akna san deo,bab deo,salman khan nk
Tony and Max.Acapulco bay