Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Hahahah!! Nakumbuka lile tukio liliweka gumzo haswaaa sinta kutua dar... Kipindi hicho bado ni dogo janja ati nlikuwa siamini kama kweli ametua dar, niliona kama miujiza fulani isiyosadikika hahahahah
Enzi hizo nakaa M/mala natoka shule pale Mwinyuma nakuta watu kibao...!!kuuliza Siti kaja nkamuambia konda nshushee...
Mbio mpk kwao na nisimuone
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…