Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
CTN walikuwa na movie fulani za kizamani sana, zilikuwa zinaitwa TNT Classic Movies. Nilikuwa napoteza muda sana kuziangalia hizi.
Duh umenikumbusha mbali sana kijana. Walikuwa wanaweka picha za kihindi na kiarabu. Full watu kuchinjana na ndio movies za Kina kuchi kuchi khotae za kihindi. Umenikumbusha mtangazaji wa taarifa wa DTV alikuwa Ephraim kibonde. Na sitasahau yule Rainfred Masako alivyo tangaza ajali ya Mv. Bukoba.CTN wakat huo nakumbuka ilikuwa jumapili saa nane mchana ilikuwa wanaweka picha za kihind!!akna san deo,bab deo,salman khan nk
John Black, Marlena Evans, Bo brad,Bill, Stefano Dimera,Jenifer, Victor Kiriakis,Hope,Austin,Christina Dimera,Sami Brady,Lucas nk...Haki ya nani ulikuwa hunitoi sebulani ikishaanzaDays of our life
Sio alianza lulu kwanza ndo akaja faiza!Hapo mtangazaji alikuwa lulu aftr faiza
Family MattersView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Sina picha yake ila kupitia hapa naamini tutaipata, ndio mweusi hiviiYaaaani huyo Dada Kama unapicha yake hebu niwekeee nimuone si alikuwa mweusi hivii
Angalia kwenye uzi juu nimegusia mkuuKifuatacho ITV, yule dada muhindi ndo alikuwa anasema kifuatacho ITV na kutoa muhtasari kidogo kama ni tamthilia, nakumbuka tamthilia ya Acapulco, na moja ilikuwa kali sana nimesahau jina ila ina neno beach!
Mkuu hujanitendea haki kumsahau rino lenz (sijui kama nimepatia kuandika jina ila ujumbe umefika)Wana jamvi leo nimeona japo turevew miaka hii ya nyuma vipindi vya television enzi zile 1994 kuibukia miaka ya 2000. Binafsi nakumbuka mbali sana hasa vipindi vya television ITV mfano Egoli place of Gold, 21 jump Street, Time trax, movie ya V, Rino Renz, vichekesho Kama Fresh Prince of bell air, family matters, Living Single ya Queen Latifa, Tausi ya mjuba, Vitimbi(masakuu, Ojwang' Othrong'ong'o) Vioja Mahakamani, Mambo hayo ya kina Waridi, Sumbi, bocha na Aisha. Pia kulikuwa na Tamthiliya kama The young and the restless, Sun seat beach, na Acapulco bay.
Aidha nakumbuka tulikuwa tunaangalia UEFA kupitia CFI(Canal France International). Matangazo nakumbuka kama Revola, komoa, lotion ya Jambo, hebu vingine mnisaidie CTN na DTV. Je kipindi kile watangazaji unawakumbuka? Wa ITV, CTN, na DTV. Mimi kwa itv namkumbuka Suzan Mongi nilimpenda sana sana. Karibuni tuflash back jamani.
1998Kwani isidingo kwa kumbukumbu ilianza lini mkuu
Cna kumbukumbu nzur Sana hapo mkuuSio alianza lulu kwanza ndo akaja faiza!