yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,882
- 3,293
Huyo hayupo kabsa hata kwenye raman na maana hajatajwa. Alishapotea kitamboUmemsahau Mr. Blue aisee! Huyu jamaa mimi sielewagi anaimba nini.
Huyo hayupo kabsa hata kwenye raman na maana hajatajwa. Alishapotea kitamboUmemsahau Mr. Blue aisee! Huyu jamaa mimi sielewagi anaimba nini.
hakika wewe ni tako
kama nakuelewa hv ha ha!Team domo utawajua. Hapo lengo ni konde-boy,kupoteza maboya ukamweka mwisho. Fanya yako.
Nilitegemea kukuta majina kama inspector Haroun, Mansu Li , Ferouz, TID, GK , ABDUL KIBA, TUNDAMAN , MAKAMUA etc badala yake umeweka list ya wasanii ambao bado wapo sana kwenye game... jealous or something??
Team domo utawajua. Hapo lengo ni konde-boy,kupoteza maboya ukamweka mwisho. Fanya yako.