blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,431
- 12,586
- Thread starter
- #101
Sema tu mademu wanapenda lile limwili lake...Ila NAY wa Mitego kishaisha zamani,ila anajifanya kujificha kwenye shamba la mchicha,kwa kujifanya kuwaponda wenzake wamefulia wakati yy ndiye ana hali mbaya kuliko anao waponda,sijui anazani hatumuoni.
..
Bila hilo angeshasanda zamani...