Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Mzee Mwinjuma Ali Nkonga ambaye ni miongoni mwa Watanganyika waliopigania Uhuru Wa nchi hii kabla ya Uhuru akiwa amesahauliwa na mwajiri wake ,ambapo anaishi kijiji cha Msente Handeni Tanga,ni vema sasa Serikali ikawaangalia Wazee hawa ambao wanaishi Kwa Mateso makubwa bila ya msaada Wa waajiri wao kwani walijitolea Kwa nguvu zao zote.