Tukubaliane na hili

Tukubaliane na hili

Pumzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2013
Posts
321
Reaction score
55
Wanawake mnafundishwa,au mnalazimishwa kupenda? unaweza kupanda daladala ghafla ukavutiwa au ukamtamani mwanamke una omba contact zake anakupa una muapproach anakubali anakuwa mpenzi wako wakati yeye binafsi hakuwa na wazo lolote juu yako

Hivyo tukubaliane wanawake wanafundishwa na pia kulazimishwa kupenda
 
Tukiwanyima contacts mnasema uchoyo

tukiwapa mnasema tunalazimishwa kupenda
 
Inaitwa 'to go with the flow' ana upa moyo nafasi atakupenda later
 
Naomba mtu anifundishe kupenda.....vigezo na masharti kuzingatiwa
 
mwnamke anajifunza kupenda so usijali pale moyo unapokwama hapo hapo apaeleweki sepa
 
Ni kweli kabisa...upendo wa mwanamke unajengeka taratibu na ndio maana unakuwa deep sana
 
Ndio maana sitaki urafiki wa karibu na wasichana kwani wanaweza kukupenda mapema na kukuharibia uhusiano wako
 
Back
Top Bottom