Tukubali tusikubali wenzetu Kenya wanachanja mbuga, sisi na CCM yetu mmh !

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,064
22,757
President Kibaki and Vice- President Kalonzo Musyoka of Kenya have bowed to public pressure and paid up their tax arrears, further isolating Members of Parliament resisting the constitutional obligation.

Article 210(3) states that no law may exclude or authorise the exclusion of a State officer from payment of tax by reason of the office held by that State officer or the nature of the work of the State officer.


Going by the fact President Kibaki raked in about Sh20 million for the past ten months and considering his basic salary and allowances total about Sh2 million per month, his tax arrears stood at Sh6 million.

The decision by three leading political leaders, including Prime Minister Raila Odinga, who settled his arrears last week, to respect the Constitution that demands the tax burden should be shared by all Kenyans, has put MPs opposed to paying taxes in a lonely corner.

"Payment of taxes is a constitutional, moral and developmental issue that goes beyond any individual’s personal position notwithstanding the fact that some politicians have opted to make it a public declaration of their paying", said the Finance Minister Uhuru Kenyatta.

“The consequences of non-compliance are equally well stipulated within our laws. Ultimately, if there are Kenyans who have not fulfilled these obligations, it would come to light,” he stated.

Hapa kwetu wanaochanja mbuga ni wale walafi tu wanaojipangia posho kwa nguvu, kasi na ari zaidi lakini bila kodi wakiwaacha kwenye mataa wananchi walio wengi. Utamtozaje Kikwete kodi huku hata kipato chake hakijulikani !
 
Wakati jumuiya ya Afrika Mashariki inavunjika mwaka 1977 thamani ya shilingi yetu na ile ya Kenya zilikuwa zinalingana na Dola moja ya Marekani ilikuwa sawa na shilingi saba za Kenya au Tanzania.

Wakati Mwalimu Nyerere anang'atuka mwaka 1985 thamani ya hela yetu ilikuwa imepungua kidogo na kufikia shilingi nane kwa dola.

Pamoja na Kenya kujulikana kwa vurugu na Tanzania ikijivunia amani na utulivu, hivi sasa wakati dola ya Marekani ni sawa na Kshs 88.00 tu za Kenya, hapa Tanzania imefikia Tshs 1,600.00 kwa dola !

Na sasa wenzetu wanajenga flyovers kwa hela yao, sisi tuna CCM, shame on US !
 
Wakati jumuiya ya Afrika Mashariki inavunjika mwaka 1977 thamani ya shilingi yetu na ile ya Kenya zilikuwa zinalingana na Dola moja ya Marekani ilikuwa sawa na shilingi saba za Kenya au Tanzania.

Wakati Mwalimu Nyerere anang'atuka mwaka 1985 thamani ya hela yetu ilikuwa imepungua kidogo na kufikia shilingi nane kwa dola.

Pamoja na Kenya kujulikana kwa vurugu na Tanzania ikijivunia amani na utulivu, hivi sasa wakati dola ya Marekani ni sawa na Kshs 88.00 tu za Kenya, hapa Tanzania imefikia Tshs 1,600.00 kwa dola !

Na sasa wenzetu wanajenga flyovers kwa hela yao, sisi tuna CCM, shame on US !


Thamani ya hela SI kigezo cha kuwa na uchumi mzuri wa nchi. China wanaibeg hela yao isiwe na thamani ili waweze kuoffer cheap labor, na capital investments, nk.
 
Thamani ya hela SI kigezo cha kuwa na uchumi mzuri wa nchi. China wanaibeg hela yao isiwe na thamani ili waweze kuoffer cheap labor, na capital investments, nk.

KUSHUKA kwa thamani ya fedha ni kiashiria cha kuporomoka kwa uchumi. Point uliyopewa hapo juu ni kwamba thamani ya shilingi yetu IMESHUKA ukilinganisha na ile ya Kenya toka 1:1 hadi 20:1

Thou shalt not SPIN
 
Thamani ya hela SI kigezo cha kuwa na uchumi mzuri wa nchi. China wanaibeg hela yao isiwe na thamani ili waweze kuoffer cheap labor, na capital investments, nk.

If the currency of any country continue to depreciate at an alarming rate like TZSH, that means there's a spiral inflation which is not good for any economy. The value of the Chinese Yuan is manipulated in order to let it not appreciate but becoming just stable.
 
If the currency of any country continue to depreciate at an alarming rate like TZSH, that means there's a spiral inflation which is not good for any economy. The value of the Chinese Yuan is manipulated in order to let it not appreciate but becoming just stable.

Short time inflation siyo mbaya kwa nchi kwa sababu TZ inakuwa kiuchumi haraka sana kulinganisha na ilivyokuwa mwanzo. Hizo inflation unazoona TZ ni kwa sababu hatuna Price Index system. Sasa hivi TZ, kwa sababu tunatoka kwenye Ujamaa kuna demand kubwa ya vitu, lands, nk. Kinachofanyika sasa hivi ni watu wanauza bidhaa zao bila ya kujua thamani halisi ya hivyo vitu kisheria. Kwa mfano, bei za viwanja zipo juu sana, nyumba, vyakula vipo juu sana Dar, lakini ukienda vijijini ni rahisi sana. Sasa ukitaka kufuata Statistic data za inflation inabidi uangalie nchi nzima, lakini hatuna system kama hizo. Matokeo yake, watu wanaangalia kila bidhaa kutokana na bei za Dar; huo ni mfano wa misleading informations.
 
KUSHUKA kwa thamani ya fedha ni kiashiria cha kuporomoka kwa uchumi. Point uliyopewa hapo juu ni kwamba thamani ya shilingi yetu IMESHUKA ukilinganisha na ile ya Kenya toka 1:1 hadi 20:1

Thou shalt not SPIN

Ukingalia statistic data za GDP ya TZ utaona kwamba tuna positive growth, kwa hiyo uchumi wa nchi unakuwa.
 
Short time inflation siyo mbaya kwa nchi kwa sababu TZ inakuwa kiuchumi haraka sana kulinganisha na ilivyokuwa mwanzo. Hizo inflation unazoona TZ ni kwa sababu hatuna Price Index system. Sasa hivi TZ, kwa sababu tunatoka kwenye Ujamaa kuna demand kubwa ya vitu, lands, nk. Kinachofanyika sasa hivi ni watu wanauza bidhaa zao bila ya kujua thamani halisi ya hivyo vitu kisheria. Kwa mfano, bei za viwanja zipo juu sana, nyumba, vyakula vipo juu sana Dar, lakini ukienda vijijini ni rahisi sana. Sasa ukitaka kufuata Statistic data za inflation inabidi uangalie nchi nzima, lakini hatuna system kama hizo. Matokeo yake, watu wanaangalia kila bidhaa kutokana na bei za Dar; huo ni mfano wa misleading informations.
You've got to be kidding me that Tanzania's inflation has been short term!
Tanzania has been under inflation during much of the recent past and is getting even worse. The cost of living, food prices, gasoline, energy and other basic needs continue to significantly raise on a daily basis while the wages have remained flat or with negligible increase, and that's why life has been very unkind to majority of common citizen. This is not misleading
To make the matter even worse, some services and products are being rendered/sold using the USD.
 
Ukingalia statistic data za GDP ya TZ utaona kwamba tuna positive growth, kwa hiyo uchumi wa nchi unakuwa.

I'll leave this BoT's claim to others may be they will be able to come up with more insights
 
Ukingalia statistic data za GDP ya TZ utaona kwamba tuna positive growth, kwa hiyo uchumi wa nchi unakuwa.

Uchumi wa Tanzania unakua, lakini uchumi wa Watanzania unakua? Kampuni za madini Tanzania zinauza dhahabu kama 1000 ounces kwa mwaka. Hizo zinaongeza shilingi 1.4 trilion kwenye uchumi wa Tanzania, lakini haziongezi kitu kwenye uchumi wa Watanzania.

As they say, statistics are like a bikini; what they reveal is suggestive, what they leave out is crucial.
 
You've got to be kidding me that Tanzania's inflation has been short term!
Tanzania has been under inflation during much of the recent past and is getting even worse. The cost of living, food prices, gasoline, energy and other basic needs continue to significantly raise on a daily basis while the wages have remained flat or with negligible increase, and that's why life has been very unkind to majority of common citizen. This is not misleading
To make the matter even worse, some services and products are being rendered/sold using the USD.

Soma vizuri nilikuwa nakuambia hii inflations ipo Dar tu na si vijijini.
 
Uchumi wa Tanzania unakua, lakini uchumi wa Watanzania unakua? Kampuni za madini Tanzania zinauza dhahabu kama 1000 ounces kwa mwaka. Hizo zinaongeza shilingi 1.4 trilion kwenye uchumi wa Tanzania, lakini haziongezi kitu kwenye uchumi wa Watanzania.

As they say, statistics are like a bikini; what they reveal is suggestive, what they leave out is crucial.

Another debate, hiyo ni economic inequalities. Hiyo inequality ipo TZ, Afrika, USA, na Dunia nzima.
 
Soma vizuri nilikuwa nakuambia hii inflations ipo Dar tu na si vijijini.
Impact of inflation is not only felt in Dar but also the rest of the country. The cost of 1 litre of Gasoline is even higher in upcountry
 
Uchumi wa Tanzania unakua, lakini uchumi wa Watanzania unakua? Kampuni za madini Tanzania zinauza dhahabu kama 1000 ounces kwa mwaka. Hizo zinaongeza shilingi 1.4 trilion kwenye uchumi wa Tanzania, lakini haziongezi kitu kwenye uchumi wa Watanzania.

As they say, statistics are like a bikini; what they reveal is suggestive, what they leave out is crucial.

Juzi nilisoma article moja nadhani hapa nimeitafuta lakini sijafanikiwa. Katika article hilo ilionyesha mapato yanayotokana na dhahabu yetu ni 5 trillioni shilings lakini nchi imeambulia 48 billioni tu. Sasa kama huu si wizi wa mchana kweupe sijui ni kitu gani. Bado naitafuta hiyo article nikiipata nitaiweka jamvini.
 
Impact of inflation is not only felt in Dar but also the rest of the country. The cost of 1 litre of Gasoline is even higher in upcountry

Unaona kwamba ni Global Inflation na siyo TZ pekee. Hizi bei za mafuta kutoka gulf zinachangia hizi inflation ktk miji mikubwa ambayo inatumia magari, machine, nk. Kuna demand kubwa ya mafuta wakati supply bado ni ndogo. Huwezi kublame nchi ktk tatizo ambalo lipo ktk kila nchi ambazo hazina mafuta.
 
but it's far less than what we face

Tatizo kubwa la TZ ni mfumo tuliokuwa nao mwanzo wa Ujamaa. Sasa ilipofika wakati wa kuja kwenye Free Market system nchi ilikuwa haijajiandaa vizuri. Matokeo yake, sasa hivi kila mtu anataka kuishi Dar, wakati huo huo Dar haipo tayari kuweza kuwahudumia watu wote. Sasa hivi unaona inflation Dar ni kubwa kwa sababu demand ipo kubwa kwa kila kitu. Ukitaka kuishi vizuri TZ, nenda kaishi vijijini, tafuta shamba lako, mifugo yako, utaona maisha ni mazuri sana.
 
Unaona kwamba ni Global Inflation na siyo TZ pekee. Hizi bei za mafuta kutoka gulf zinachangia hizi inflation ktk miji mikubwa ambayo inatumia magari, machine, nk. Kuna demand kubwa ya mafuta wakati supply bado ni ndogo. Huwezi kublame nchi ktk tatizo ambalo lipo ktk kila nchi ambazo hazina mafuta.

The bodaboda fares, diesel for unga mills and kerosene for lamps will go up in the rural areas
 
Back
Top Bottom