Tukubali tusikubali wenzetu Kenya wanachanja mbuga, sisi na CCM yetu mmh !

Tatizo kubwa la TZ ni mfumo tuliokuwa nao mwanzo wa Ujamaa. Sasa ilipofika wakati wa kuja kwenye Free Market system nchi ilikuwa haijajiandaa vizuri. Matokeo yake, sasa hivi kila mtu anataka kuishi Dar, wakati huo huo Dar haipo tayari kuweza kuwahudumia watu wote. Sasa hivi unaona inflation Dar ni kubwa kwa sababu demand ipo kubwa kwa kila kitu. Ukitaka kuishi vizuri TZ, nenda kaishi vijijini, tafuta shamba lako, mifugo yako, utaona maisha ni mazuri sana.

I recently visited so many rural areas for business, believe it or not, life is getting even uglier and tougher
 
The bodaboda fares, diesel for unga mills and kerosene for lamps will go up in the rural areas

Kwa hiyo unaagree na mimi kwamba hii ni Global Inflation inayotokana na bei za Mafuta. Kuwa na bei juu za mafuta ni la dunia nzima, kwa sababu bado tuna import mafuta kwa matumizi yetu. Na bei hizi zitapanda na kushuka kutegemeana na hali halisi ktk Mid East.
 
Kwa hiyo unaagree na mimi kwamba hii ni Global Inflation inayotokana na bei za Mafuta. Kuwa na bei juu za mafuta ni la dunia nzima, kwa sababu bado tuna import mafuta kwa matumizi yetu. Na bei hizi zitapanda na kushuka kutegemeana na hali halisi ktk Mid East.
there are some countries are doing just fine not much affected by the global economic crunch e.g. Australia.
There are some countries that were affected by it and have moved on and are now doing just fine e.g. our neighbours next door Rwanda, Kenya etc
Why not Tanzania?
 
I recently visited so many rural areas for business, believe it or not, life is getting even uglier and tougher

Hiyo ndiyo issue inayokuja TZ, kwa sababu kila mtu anataka kukaa Dar, nani atakaelima vijijini? Unajua Free Market haiweleki miongoni mwa WTZ wengi. Kwa sababu WTZ wengi wanafikiri kwenye Free Market lazima wafanye kazi viwandani, maofisini, wakati si kweli. Unajua matajiri wakubwa ktk nchi kubwa zilizoendelea zenye kutumia system ya Free Market ni Wakulima. Ktk system ya Free Market kama unaishi vijijini na unaproduce food, mifugo unachance kubwa ya kuwa tajiri kuliko kukaa Dar kufanya kazi ofisini au viwandani.
 
Hiyo ndiyo issue inayokuja TZ, kwa sababu kila mtu anataka kukaa Dar, nani atakaelima vijijini? Unajua Free Market haiweleki miongoni mwa WTZ wengi. Kwa sababu WTZ wengi wanafikiri kwenye Free Market lazima wafanye kazi viwandani, maofisini, wakati si kweli. Unajua matajiri wakubwa ktk nchi kubwa zilizoendelea zenye kutumia system ya Free Market ni Wakulima. Ktk system ya Free Market kama unaishi vijijini na unaproduce food, mifugo unachance kubwa ya kuwa tajiri kuliko kukaa Dar kufanya kazi ofisini au viwandani.

People are flocking to Dar from all the corners of the country looking for the Tanzanian Dream. Since life has been very punishing in the rural areas, people are moving to the big cities hoping to make it. For them they feel that it's better to live with hope in Dar than languishing in poverty and hopelessness in the villages
 
there are some countries are doing just fine not much affected by the global economic crunch e.g. Australia.
There are some countries that were affected by it and have moved on and are now doing just fine e.g. our neighbours next door Rwanda, Kenya etc
Why not Tanzania?


Hizo nchi wana individual entrepreneur ambao wandrive uchumi wa nchi yao. Angalia ktk other reply nimezungumzia kuhusu tatizo la Free Market miongoni mwa WTZ.
Lakini TZ bado tuna positive GDP growth ktk uchumi.
 
People are flocking to Dar from all the corners of the country looking for the Tanzanian Dream. Since life has been very punishing in the rural areas, people are moving to the big cities hoping to make it. For them they feel that it's better to live with hope in Dar than languishing in poverty and hopelessness in the villages

Hiyo ndiyo issue inayokuja TZ, kwa sababu kila mtu anataka kukaa Dar, nani atakaelima vijijini? Unajua Free Market haiweleki miongoni mwa WTZ wengi. Kwa sababu WTZ wengi wanafikiri kwenye Free Market lazima wafanye kazi viwandani, maofisini, wakati si kweli. Unajua matajiri wakubwa ktk nchi kubwa zilizoendelea zenye kutumia system ya Free Market ni Wakulima. Ktk system ya Free Market kama unaishi vijijini na unaproduce food, mifugo unachance kubwa ya kuwa tajiri kuliko kukaa Dar kufanya kazi ofisini au viwandani.
 
Hizo nchi wana individual entrepreneur ambao wandrive uchumi wa nchi yao. Angalia ktk other reply nimezungumzia kuhusu tatizo la Free Market miongoni mwa WTZ.
Lakini TZ bado tuna positive GDP growth ktk uchumi.
We had adopted the free enterprise economy just after Mwinyi came into power (1985). Isn't that enough time?....25+ years.........
 
Hiyo ndiyo issue inayokuja TZ, kwa sababu kila mtu anataka kukaa Dar, nani atakaelima vijijini? Unajua Free Market haiweleki miongoni mwa WTZ wengi. Kwa sababu WTZ wengi wanafikiri kwenye Free Market lazima wafanye kazi viwandani, maofisini, wakati si kweli. Unajua matajiri wakubwa ktk nchi kubwa zilizoendelea zenye kutumia system ya Free Market ni Wakulima. Ktk system ya Free Market kama unaishi vijijini na unaproduce food, mifugo unachance kubwa ya kuwa tajiri kuliko kukaa Dar kufanya kazi ofisini au viwandani.

Hand hoes won't make things better for the rural dwellers
 
Juzi nilisoma article moja nadhani hapa nimeitafuta lakini sijafanikiwa. Katika article hilo ilionyesha mapato yanayotokana na dhahabu yetu ni 5 trillioni shilings lakini nchi imeambulia 48 billioni tu. Sasa kama huu si wizi wa mchana kweupe sijui ni kitu gani. Bado naitafuta hiyo article nikiipata nitaiweka jamvini.

Please find the article. It would give us a very interesting statistic. Kuhesabu fedha kama hizo 5tr/- kweye kukua kwa uchumi wa Watanzania ni udanganyifu. Uchumi wa Watanzania unakuzwa na fedha wanazopata wao, sio na fedha zinazovunwa na mabwanyeye na kuondoshwa nchini.
 
Hiyo ndiyo issue inayokuja TZ, kwa sababu kila mtu anataka kukaa Dar, nani atakaelima vijijini? Unajua Free Market haiweleki miongoni mwa WTZ wengi. Kwa sababu WTZ wengi wanafikiri kwenye Free Market lazima wafanye kazi viwandani, maofisini, wakati si kweli. Unajua matajiri wakubwa ktk nchi kubwa zilizoendelea zenye kutumia system ya Free Market ni Wakulima. Ktk system ya Free Market kama unaishi vijijini na unaproduce food, mifugo unachance kubwa ya kuwa tajiri kuliko kukaa Dar kufanya kazi ofisini au viwandani.

Daah! Haya bana. Kwa mtaji huu najiuliza kwanini Mustapha Mkulo awe Waziri wa fedha badala ya Alhaji mwenye "higher learning" kama weye?
 
We had adopted the free enterprise economy just after Mwinyi came into power (1985). Isn't that enough time?....25+ years.........

Not Enough. Unajua hatukuwa na institutions ambazo zilijengwa ktk mazingira ya free market economy. Free Market inataka Research and Development, tulikuwa tunatakiwa tuwe na maingeneers, lakini wapi. Nyerere alishindwa kuweka miundo mbinu ya nchi ktk kumsaidia MTZ. Matokeo yake, tunayo system ambao bado inafanya kazi bila ya kuwa na mising bora ya free market.
 
Not Enough. Unajua hatukuwa na institutions ambazo zilijengwa ktk mazingira ya free market economy. Free Market inataka Research and Development, tulikuwa tunatakiwa tuwe na maingeneers, lakini wapi. Nyerere alishindwa kuweka miundo mbinu ya nchi ktk kumsaidia MTZ. Matokeo yake, tunayo system ambao bado inafanya kazi bila ya kuwa na mising bora ya free market.

Wewe kila bovu nchi hii ni kumlaumu Nyerere tu. Miaka zaidi ya 20 tokea aachie ngazi, na marais watatu baada yake. Hata Wamarekani wameacha kumlaumu George W. Bush kwa kilia lilio baya nchi yao miaka chini ya mitatu tokea aondoke madarakani ...
 
Not Enough. Unajua hatukuwa na institutions ambazo zilijengwa ktk mazingira ya free market economy. Free Market inataka Research and Development, tulikuwa tunatakiwa tuwe na maingeneers, lakini wapi. Nyerere alishindwa kuweka miundo mbinu ya nchi ktk kumsaidia MTZ. Matokeo yake, tunayo system ambao bado inafanya kazi bila ya kuwa na mising bora ya free market.

We currently do have a lot of engineers, scientists, doctors etc both within and outside Tanzania. How can these professionals contribute to the development of this country while you daily hear that China has secured one project after another followed by the influx of the chinese personel (chinese engineers, geologists and even concrete mixer drivers) to work for these projects in which the local professionals are ignored
 
Wewe kila bovu nchi hii ni kumlaumu Nyerere tu. Miaka zaidi ya 20 tokea aachie ngazi, na marais watatu baada yake. Hata Wamarekani wameacha kumlaumu George W. Bush kwa kilia lilio baya nchi yao miaka chini ya mitatu tokea aondoke madarakani ...

Hahahaa. TRUTH, au siyo. Let's be honest
 
Wakati jumuiya ya Afrika Mashariki inavunjika mwaka 1977 thamani ya shilingi yetu na ile ya Kenya zilikuwa zinalingana na Dola moja ya Marekani ilikuwa sawa na shilingi saba za Kenya au Tanzania. Wakati Mwalimu Nyerere anang'atuka mwaka 1985 thamani ya hela yetu ilikuwa imepungua kidogo na kufikia shilingi nane kwa dola. Pamoja na Kenya kujulikana kwa vurugu na Tanzania ikijivunia amani na utulivu, hivi sasa wakati dola ya Marekani ni sawa na Kshs 88.00 tu za Kenya, hapa Tanzania imefikia Tshs 1,600.00 kwa dola ! Na sasa wenzetu wanajenga flyovers kwa hela yao, sisi tuna CCM, shame on US !
Wakati Nyerere anang'atuka dola 1 ilikuwa 17 shs but artificial not market set,Mwinyi kaacha at 600 market price,Mkapa kaacha 1100 na sasa ni 1600 kwa dola moja.
 
We currently do have a lot of engineers, scientists, doctors etc both within and outside Tanzania. How can these professionals contribute to the development of this country while you daily hear that China has secured one project after another followed by the influx of the chinese personel (chinese engineers, geologists and even concrete mixer drivers) to work for these projects in which the local professionals are ignored

Tatizo kubwa la wasomi wa sasa hivi ni kwamba hawana foundation ya kupata capital investments. Leo kuna maPhD kibao lakini hawapo ktk research yoyote. Hapo ndipo linapukuja suala la foundation. Nyerere alishindwa kuweka miundo mbinu kwa WTZ, matokeo yake sasa hivi, kila kitu kinajengwa na China kwa sababu hatuna vifaa, pesa za kunnuna hivyo vifaa, kwa sababu tumekuwa behind kiuchumi. Sasa tunajaribu ukawifikia wenzetu lakini bado tunakwama kwenye capital investments.
 
Hiyo ndiyo issue inayokuja TZ, kwa sababu kila mtu anataka kukaa Dar, nani atakaelima vijijini? Unajua Free Market haiweleki miongoni mwa WTZ wengi. Kwa sababu WTZ wengi wanafikiri kwenye Free Market lazima wafanye kazi viwandani, maofisini, wakati si kweli. Unajua matajiri wakubwa ktk nchi kubwa zilizoendelea zenye kutumia system ya Free Market ni Wakulima. Ktk system ya Free Market kama unaishi vijijini na unaproduce food, mifugo unachance kubwa ya kuwa tajiri kuliko kukaa Dar kufanya kazi ofisini au viwandani.

Acha ubabaishaji ndugu yangu, watu wanahamia mijini kwa sababu huko vijijini hakukaliki kwa ugumu wa maisha. Jaribu kuachana na data za kupikwa ambazo ndio zimekuwa kama dira zinazoiongoza serikali yetu ya CCM. Nitakupa mfano;
Due to economic growth, the proportion of Tanzania's population living below the poverty line dropped to 33.3 percent last year from 35.7 percent in 2000/01, stated the 2007 survey, which was released by the country’s National Bureau of Statistics (sic).
Lakini hapo hapo wanaongezea;
However, the number of people in Tanzania who have to survive on $1.10 a day or less has risen by one million to 12.7 million in the last six years !
Kwa lugha nyingine ni kuwa wakati wanadai uchumi unakua, umasikini uko pale pale kama si kuongezeka na watu wanaoumia zaidi ni wale wa kijijini.
Economic growth in Tanzania, the third-biggest gold producer in Africa, reached about seven percent a year since 2001. Yet, the country remains one of the poorest in the world. The United Nations Human Development Index, which measures a range of social and economic indicators, ranks Tanzania 159 out of 177 nations. Worst off are rural areas that are often cut off from services and other types of support
Shamu unaongea kama vile huko vijijini hakuna tena watu wakati asilimia kubwa ya Watanzania karibu 80% tayari wanaishi huko huko. Sasa ni kwa nini hawa si matajiri ama kuna watu special ambao wamehamia mijini lakini kama wangekuwa vijijini wangefanikiwa katika kilimo na ufugaji, ni watu gani hao ? au hao waliokimbilia mjini kama ndio wanaosababisha umasikini vijijini - ni asilimia ngapi ?

Jamani tuache mzaha kwa mambo ya msingi - ardhi tunayo, watu tunao na tunachokosa ni uongozi bora kwa sababu CCM hivi sasa ni kama genge tu la wezi na wachumia tumbo, ukweli ambao hawako tayari kuupokea. Wako tayari kuwaua Watanzania wanaodai mabadiliko katika mfumo wa uendeshaji nchi kuliko kukubali kuwa wamefikia upeo wao na kuachia madaraka - yamewashinda.
 
Tatizo kubwa la wasomi wa sasa hivi ni kwamba hawana foundation ya kupata capital investments. Leo kuna maPhD kibao lakini hawapo ktk research yoyote. Hapo ndipo linapukuja suala la foundation. Nyerere alishindwa kuweka miundo mbinu kwa WTZ, matokeo yake sasa hivi, kila kitu kinajengwa na China kwa sababu hatuna vifaa, pesa za kunnuna hivyo vifaa, kwa sababu tumekuwa behind kiuchumi. Sasa tunajaribu ukawifikia wenzetu lakini bado tunakwama kwenye capital investments.

I'm talking about putting this valuable labour force into work. If you invite the chinese to come to Kiwira, that's fine. But when you allow their labor force to take the jobs which were supposed to be done by the local labor force that's not Nyerere's problem. The chinese or any other foreign investor are welcome to invest in Tanzania, but under certain terms and conditions which benefit wananchi too just like other countries are currently doing. But when you have bogus contracts that the current government is being tied up with these chinese investors then who's to blame? Are you gonna still blame Nyerere for this? pleaseeeeeeeeeeeeeee
 
If the currency of any country continue to depreciate at an alarming rate like TZSH, that means there's a spiral inflation which is not good for any economy. The value of the Chinese Yuan is manipulated in order to let it not appreciate but becoming just stable.
Absolutely! Further more, though not declared our TSh is on peg with Dollar, so how budget could be realistic if the Tsh is on lose every other day. The 20:1 ratio mean the purchasing power of Kenyans is better than ours. If one think inflation is better then Zimbabwe and Uganda could be a paradigm. Don't forget that controlling inflation is improving income and vice versa, we have seen this in Mkapa's reign.

Mag3, in terms of tax and financial discipline Kenya had the same problems like ours, She broke the seal by having opposition majority in the house. I could see that coming soon as people appreciate the opposition in the parliament.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom