Acha ubabaishaji ndugu yangu, watu wanahamia mijini kwa sababu huko vijijini hakukaliki kwa ugumu wa maisha. Jaribu kuachana na data za kupikwa ambazo ndio zimekuwa kama dira zinazoiongoza serikali yetu ya CCM. Nitakupa mfano;
Lakini hapo hapo wanaongezea;
Kwa lugha nyingine ni kuwa wakati wanadai uchumi unakua, umasikini uko pale pale kama si kuongezeka na watu wanaoumia zaidi ni wale wa kijijini.
Shamu unaongea kama vile huko vijijini hakuna tena watu wakati asilimia kubwa ya Watanzania karibu 80% tayari wanaishi huko huko. Sasa ni kwa nini hawa si matajiri ama kuna watu special ambao wamehamia mijini lakini kama wangekuwa vijijini wangefanikiwa katika kilimo na ufugaji, ni watu gani hao ? au hao waliokimbilia mjini kama ndio wanaosababisha umasikini vijijini - ni asilimia ngapi ?
Jamani tuache mzaha kwa mambo ya msingi - ardhi tunayo, watu tunao na tunachokosa ni uongozi bora kwa sababu CCM hivi sasa ni kama genge tu la wezi na wachumia tumbo, ukweli ambao hawako tayari kuupokea. Wako tayari kuwaua Watanzania wanaodai mabadiliko katika mfumo wa uendeshaji nchi kuliko kukubali kuwa wamefikia upeo wao na kuachia madaraka - yamewashinda.
Umezungumzia vitu viwili, Economic inequalities na positive growth ktk uchumi. Sasa unapozumguzia uchumi wa nchi, uchumi wa nchi unakuwa vizuri, pamoja na data zako zinakubali.
Unapozumzia issue ya economic inequalities miongoni mwa WTZ hilo ndilo tatizo la free market. Ukiangalia ktk reply zilizopita tumeangalia hizo issues za inequalities. Kwanza, inequalities zipo ktk kila nchi. Ni jambo zuri? No. Tupo kwenye progress ya growth.