Tukubali kutokubaliana

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Mar 1, 2016
12,655
31,422
Habari wana JF

Yafuatayo ni mambo ambayo lazima tukubali kutokubliana:
1. Yanga ni timu bora zaidi ya simba and vice versa;
2. CCM ni chama bora kuliko CHADEMA and vice versa;
3. Mademu wembamba ni watamu kuliko wanene;
4. Wavulana wa mikoani ni mapimbi kuliko wa Dar;
5. Uchumi wetu unakua na siyo kuporomoka;
6. Nyalandu kajiuzulu na hajafukuzwa;
7.
8.
9.
Listi inaweza kuendelea
 
Habari wana JF

Yafuatayo ni mambo ambayo lazima tukubali kutokubliana:
1. Yanga ni timu bora zaidi ya simba and vice versa;
2. CCM ni chama bora kuliko CHADEMA and vice versa;
3. Mademu wembamba ni watamu kuliko wanene;
4. Wavulana wa mikoani ni mapimbi kuliko wa Dar;
5. Uchumi wetu unakua na siyo kuporomoka;
6. Nyalandu kajiuzulu na hajafukuzwa;
7.
8.
9.
Listi inaweza kuendelea
 
Back
Top Bottom