somji
Senior Member
- Jan 11, 2015
- 114
- 67
Kila mahala ni KODI watanzania tunalipa kodi kwa kitu kimoja zaidi ya mara mbili. Me nkienda dukani akiniambia nakupunguzia bei hii lakini sikupi Risiti stakagi majadiliano yasio na msingi mm.. Anipe fasta kila mtu akafie kwake.
Watu wanaishi km Peponi na familia zao eti viongozi tulipe kodi wanajenga Airpot Chato.
Hii nchi haina mwenyewe ni nafasi tuu ndo hatuna za kuila hii nchi ndomana tunaandika huku kutokana na Mifumo mibovu ya CCM waliyo itengeneza toka Uhuru. Ukinisogezea sahani niandike huku Jamii F. Ya kazi gani. Eti dai RISITI nisipunguziwe bei utanlishia watoto wangu wewe. Upo kwenye m V8 unapgwa na umande ujui hili JOTO la dar sahv. Kwendraaa
Watu wanaishi km Peponi na familia zao eti viongozi tulipe kodi wanajenga Airpot Chato.
Hii nchi haina mwenyewe ni nafasi tuu ndo hatuna za kuila hii nchi ndomana tunaandika huku kutokana na Mifumo mibovu ya CCM waliyo itengeneza toka Uhuru. Ukinisogezea sahani niandike huku Jamii F. Ya kazi gani. Eti dai RISITI nisipunguziwe bei utanlishia watoto wangu wewe. Upo kwenye m V8 unapgwa na umande ujui hili JOTO la dar sahv. Kwendraaa