mkuu hawawezi kukuelewa hata kidogo.
Sijui ni nan katuloga watanzania mpaka kuwa wapumbavu kiasi hiki.
Wanadanganywa eti anauchukia umaskin ndio anauchukia kwa familia yake lakn sio kwa watz.
Wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya.
Sasa twende kwenye mada. Ndugu yetu Lowassa ni mbunge kwa miaka 25 katika jimbo la Monduli. Na amekuwa akinadiwa kama mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu.
Lakini ustawi wa maendeleo katika jimbo la Monduli ni tofauti na kile tunachoambiwa.
Lakini tafiti za UNDP, zinabainisha illiteracy rate au wanaojua kusoma ni wachache mno, ajira ni tatizo kubwa sana monduli... Vijana wengi wamekimbilia Arusha, Namanga, Nairobi, DSM na Zanzibar kama walinzi, wasusi, na wauza shanga.
Hii ni aibu kubwa iliyofunikwa na fedha isionekane, michango kwenye taflija mbali mbali nayo imekuwa kama kisafishio cha aibu hii. Jaribu kufananisha kazi anayo fanya Deo Firikunjombe Ludewa ndani ya muda mchache na kazi ya Lowassa monduli ndani ya miaka 25.
Kinachoonekana kwa jicho la pili ni maandalizi ya muda mrefu ya kutaka urais kwa gharama zozote ikiwa ni pamoja na kuupumbaza umma kwa techniques mbali mbali.
Namaliza kwa kusema, zile milioni Mia 200 anazotoa Lowassa kwenye taflija mbali mbali, zingeweza kutengeneza ajira za wamasai wanao suka dada zetu pale mwenge, Ubungo etc.
Tajiri siku zote hushughulika na matajiri wenzake.
Mkuu kiukwel kabisa unaweza sema magufuli msafi ili hali ya kuwa watu washaleta madudu yake hapa jukwaan! (mfano tu yaan wewe mtu kasigina taratibu za kuuza nyumba za serikali, tena kamuuzia ndugu yake ambaye hakuwa hata mwajiriwa by then! ) any way kuwa neutral na kusimamia ukweli pale inapotatikana ni issue sana wanadamu walio wengi! wengi wao mahaba niue huchukua nafasi na ni human nature kwa mtu kuwa na wivu na kile anachokiamini!
Nafikiri neno "ana unafuu" labda linamfaa!
unaumwa?
Nasubiri kwa hamu kusikiliza vipaumbele vya Lowassa akiwa Rais.
Labda kesho (29/08/2015) atasema wakati anazindua kampeni. Hivi UKAWA wana ilani ya uchaguzi? Ilani inayoweza kubeba zile za CDM, CUF, NCCR and NLD ya Makaidi.
Hadi wakati huu (28/08/2015 - 13:51 PM) sijaelewa nini sera ya Lowassa. Akisema anachukia umaskini watu wanashangalia lakini hajasema umaskini wa nani. Wa kwake na ndugu zake au umaskini wa watanzania wote? Miaka yote ndani ya serikali kafanya nini kupambana na umaskini huo nchini na jimboni kwake?
Nikisema hayo simaanishi CCM ndio malaika.
Uchaguzi wa mwaka huu Taznzania ipo njia panda. Chama sahihi (CDM/UKAWA) wana mgombea asiyefaa. Mgombea sahihi (Magufuli) yupo chama kisichofaa. Najiuliza kipi bora? Mgombea safi kwenye chama kichafu au Mgombea mchafu kwenye chama safi?
Lowasa mimi huwa sitaki hata kumuona mwizi na fisadi asiyekuwa na aibu kwa kuibia watanzania halafu anajidai yeye ni mchapa kazi.
Magufuli ni Rais wa awamu ya tano tumwamini ataweza kukutumikia vema watanzania kunyoosha mafisadi.
Wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya.
Sasa twende kwenye mada. Ndugu yetu Lowassa ni mbunge kwa miaka 25 katika jimbo la Monduli. Na amekuwa akinadiwa kama mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu.
Lakini ustawi wa maendeleo katika jimbo la Monduli ni tofauti na kile tunachoambiwa.
Lakini tafiti za UNDP, zinabainisha illiteracy rate au wanaojua kusoma ni wachache mno, ajira ni tatizo kubwa sana monduli... Vijana wengi wamekimbilia Arusha, Namanga, Nairobi, DSM na Zanzibar kama walinzi, wasusi, na wauza shanga.
Hii ni aibu kubwa iliyofunikwa na fedha isionekane, michango kwenye taflija mbali mbali nayo imekuwa kama kisafishio cha aibu hii. Jaribu kufananisha kazi anayo fanya Deo Firikunjombe Ludewa ndani ya muda mchache na kazi ya Lowassa monduli ndani ya miaka 25.
Kinachoonekana kwa jicho la pili ni maandalizi ya muda mrefu ya kutaka urais kwa gharama zozote ikiwa ni pamoja na kuupumbaza umma kwa techniques mbali mbali.
Namaliza kwa kusema, zile milioni Mia 200 anazotoa Lowassa kwenye taflija mbali mbali, zingeweza kutengeneza ajira za wamasai wanao suka dada zetu pale mwenge, Ubungo etc.
Tajiri siku zote hushughulika na matajiri wenzake.
Bwana nani anakudanganya lowasa kuchukua nchi hii,hizo ni ndoto,nsye analijua hilo kakabwa koo hana ujanja[/QUOTE
kwa sababu we rais wa maboya wa fb unadhan kila mtu anaota kama wewe
Kweli wamesema; Nyani haoni kundule. Weye unashangaa Monduli kutokuwa na maendeleo, unalinganisha Deo na muda wake mfupi aliokaa bungeni.
Mbona hulinganishi Riziwan na Babake?? Jimbo laa Riz si alikaa babake miaka na hakuleta maendeleo yeyote? Mbona Riz kabla hata ya kuingia mjengoni aliahidi kununua trekta kwa kila kijiji?? Mbona mnakuwa mazuzu? Vijiji hivyo vingelikuwa na trekta angewanunulia nyingine?? Miaka yoote babake amekuwa waziri na sasa ni rais mbona hakupeleka maendeleo huko??
ujinga si lazima ukausomee, Shule ile tulioneshwa kwenye luninga, shule ya msingi, ati juu imeezekwa nyasi, ni wapi ka si jimboni mwake, LETENI HOJA wala si vioja hapa. Ukitaka mapinduzi kamili, mchague Lowasa awe rais wako. Atakuletea maendeleo. Na Chama pekee cha ukombozi kipo UKAWA
Mkuu sibonike, hapo kwenye red tunahitaji elimu ya kutosha kuhusu uchaguzi wa mwaka huu. Maana hata mimi nimeungana na Dr. Slaa kupumzika, ila nimepoteza dira ya kura yangu niipeleke wapi? JF ebu wekeni hoja hapa ili nifanye maamuzi sahahi.Nasubiri kwa hamu kusikiliza vipaumbele vya Lowassa akiwa Rais.
Labda kesho (29/08/2015) atasema wakati anazindua kampeni. Hivi UKAWA wana ilani ya uchaguzi? Ilani inayoweza kubeba zile za CDM, CUF, NCCR and NLD ya Makaidi.
Hadi wakati huu (28/08/2015 - 13:51 PM) sijaelewa nini sera ya Lowassa. Akisema anachukia umaskini watu wanashangalia lakini hajasema umaskini wa nani. Wa kwake na ndugu zake au umaskini wa watanzania wote? Miaka yote ndani ya serikali kafanya nini kupambana na umaskini huo nchini na jimboni kwake?
Nikisema hayo simaanishi CCM ndio malaika.
Uchaguzi wa mwaka huu Taznzania ipo njia panda. Chama sahihi (CDM/UKAWA) wana mgombea asiyefaa. Mgombea sahihi (Magufuli) yupo chama kisichofaa. Najiuliza kipi bora? Mgombea safi kwenye chama kichafu au Mgombea mchafu kwenye chama safi?
Hujawhi kufika MONDULI nENDA KAJIONEE SIYO UNAJIBWABWAJA TU HUMU NA HUELEWI
Mkuu sibonike, hapo kwenye red tunahitaji elimu ya kutosha kuhusu uchaguzi wa mwaka huu. Maana hata mimi nimeungana na Dr. Slaa kupumzika, ila nimepoteza dira ya kura yangu niipeleke wapi? JF ebu wekeni hoja hapa ili nifanye maamuzi sahahi.
kwanza kabisa una kiswahli kibovu kama cha mwanafunzi wa darasa la 3, SIO TAFLIJA NI TAFRIJA. Michango katika tafrija ni jambo la kawaida sana.
pili Mbunge anasimamia Sera na Ahadi alizowaahidi wananchi wake, hicho ndicho cha kumhoji na ikiwezekana kumwajiabisha nacho, Mila na tamaduni za watu wa Monduli vinahusika sana hapa. WAADZABE walichinjiwa Punda na serikali ili wakubali shule.
Tatu wewe sio Mkazi wa Monduli hujui katika sera zake aliwaahidi kitu gani na kitu gani hajatekeleza kama mbunge wao..
Mwishokitendo cha kumsaidia mtu kwa kumpa Pesa haimaanishi familia YAKO imejitosheleza sana, Uzoefu unaonyesha viongozi wenye nyadhifa wa CCM huwa hawapaswi kua wana upendeleo kwenye majimbo yao tu, wanapaswa kuitumikia nchi yote kwa ujumla.
Bila kusahahu ukweli kua CCM ime tafuna mabilioni ya shilingi bila hata kutoa msaada popote, mfano mmoja wapo ni bilioni 200 kwenye katiba mbovu iliyokwama, TANESCROW,EPA etc. How about that huh?
TUKO SERIOUS
Magufuli ni Rais wa awamu ya tano tumwamini ataweza kukutumikia vema watanzania kunyoosha mafisadi.
Wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya.
Sasa twende kwenye mada. Ndugu yetu Lowassa ni mbunge kwa miaka 25 katika jimbo la Monduli. Na amekuwa akinadiwa kama mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu.
Lakini ustawi wa maendeleo katika jimbo la Monduli ni tofauti na kile tunachoambiwa.
Lakini tafiti za UNDP, zinabainisha illiteracy rate au wanaojua kusoma ni wachache mno, ajira ni tatizo kubwa sana monduli... Vijana wengi wamekimbilia Arusha, Namanga, Nairobi, DSM na Zanzibar kama walinzi, wasusi, na wauza shanga.
Hii ni aibu kubwa iliyofunikwa na fedha isionekane, michango kwenye taflija mbali mbali nayo imekuwa kama kisafishio cha aibu hii. Jaribu kufananisha kazi anayo fanya Deo Firikunjombe Ludewa ndani ya muda mchache na kazi ya Lowassa monduli ndani ya miaka 25.
Kinachoonekana kwa jicho la pili ni maandalizi ya muda mrefu ya kutaka urais kwa gharama zozote ikiwa ni pamoja na kuupumbaza umma kwa techniques mbali mbali.
Namaliza kwa kusema, zile milioni Mia 200 anazotoa Lowassa kwenye taflija mbali mbali, zingeweza kutengeneza ajira za wamasai wanao suka dada zetu pale mwenge, Ubungo etc.
Tajiri siku zote hushughulika na matajiri wenzake.