Tukiwa outing anageuka bubu

Tukiwa outing anageuka bubu

Kijana mtoto anatakiwa kutolewa 'soni' huyo. Hivyo achana na mastori mengi magumu sijui ya Escrow, EPA, eti sijui umeme wa mgao etc Kwa kifupi unakuwa hueleweki kwani unakuwa nje ya mada iliyo mezani.

Hivyo 'changes of game plan' iko hivi; Anza kumfanyia mtoto 'mazindiko' huyo kila mkitoka basi mnamalizia na 'shughuli' kidogo. Nakuhakikishia utarudi hapa kutoa "Ushuhuda' kwani baada ya hapo wewe ndio utageuka kuwa msikilizaji sasa, utamsikia mara darling hivi....mara ooh sweet heart vile...mara Ooh bebi unajua wewe ndio bebi wangu wa ukweli...alimradi wewe ndio msikilizaji. Wewe kajaribishe hii dozi ninayokupa walahi utarudi hapa na habari njema hapa.
 
Inabidi atolewe mbwa kwanza bila hvo atakua bubu mpaka mwisho
 
Kama mnapendana kiukweli na kwa hisia ni lazima story ziwepo tu yaani piga ua. Wapendanao bila story za hapa na pale hakuna si kawaida. Huyo binti hajakupenda au sijui ni kitu gani hicho. Jaribu kuwa na story za kimapenzi na maendeleo uone kama atachangamka. Asipochangamka piga chini haraka sana atakusumbua huyo.
 
​Muongeleshe kibubu labda atakuelewa.....au labda anaona unamchelewesha kumgegeda. Moyoni anajiuliza, "huyu naye vipi mbona hanigegedi?"
 
Huyo sio wa outing, chukua weka ndani ataongea. Inawezekana anaogopa kupiga off points.
Au anasubiri mgegedo kwanza ndo afunguke!
 
kwa.kweli.no chemistry,
but sio mbaya,be friends kwa muda kwanza,
maan mkianza kunjunju the only common thing itakua sex tu,
ts always so good to be free to talk about ANYTHING na mpenzio
 
Mkuu unajua zilikuwa zimebaki kama dakika tano kwenda lunch wakati nasoma hii comment yako, nimecheka sana imebidi niende tu lunch, eti escrow hata rais wa nchi haijui sasa unamuuliza kimwana kwenye date hahahahaha

Hahaa.. Hoi
 
Kijana hizo topic unazozungumza naye kwa kweli si zenyewe kabisa, sijui hiyo outing mnaenda wapi lakini kuna mambo ya kuzungumza huko

1. Muulize maswali yanayomhusu yeye au mazungumzo yanayomhusu kama familia yake, anaonaje kuhusu maisha na mambo kama hayo. Sasa wewe mpo sehemu tulivu unauliza habari za boxing!!! kweliiiiii

2. Usiwe muongeaji sana mpe nafasi ya kuongea, isije kuwa unabaldili stori sana mpaka anabaki anakushangaaa tu.

3. Usiwe na mada/topics ngumu, sasa hiyo Escrow mpaka rais mwenyewe haelewi wewe leo unataka mtoto wa watu akueleze nini? Uliza vitu simple na mtaenda sawa tu. Muulize hata kuhusu nywele zake (kama anazo nzuri lakini) au hata pochi na mambo mengine. Kuwa msikilizaji zaidi na mfanye ali relax

Escrow haielewek labd ufungue vitabu
 
Wakuu,

Ninakwazwa na tabia ya binti mmoja hivi ambae nimempa heshima kubwa ya kumtoa outing sehemu ya daraja la juu ambapo hata mimi huwa siendi. Huyu binti yupo kwenye middle-class anaishi na wazazi wake na ni mhitimu wa chuo.
Mimi ni mjasiriamali nina duka la jumla huku uswahilini na pia najihusisha na kilimo cha mchele mkoani, nilipomaliza nilisota sana benchi nikaamua kuwa mfanyabiashara na sasa mambo yapo levo namalizia nyumba Bunju.

So nikasema acha nitafute mtoto mzuri msomi niwekendani nikampata mtoto mmoja hivi mkali sana akakubali kimsingi kuwa na Mimi hatujazini bado. Lakini kuna jambo bado sijalielewa kwamba tukiwa outing haongei chochote mm ndo nageuka muongeaji mkuuNikikaa kimya basi ndo tunakua kama mabubu vile.

Tena unakuta nimejikoki nimempeleka sehemu ya maana na tulivu lakini ni yale yale, nikianzisha habari za Mkurunzinza kufurumushwa Burundi ambazo ndio zilikua zina trend hii wiki nzima iliyokwisha anakuuliza Mkurunzinza ndio nani.Nikisema nianzishe story za Escrow na bunge ambazo msomi yoyote hapa Tz hawezi kushindwa kujua.

Unakuta yupo kimya nikisema haya sasa ngoja nizungumzie mapenzi ambayo ndio yametuleta hapo date pia kimya nikimuuliza kama ananipenda anasema ndio. Haya myweather na manny wamepigana majuzi ulilionaje pambano? Ananiuliza ni akina nani hao.

Hivi wadau mkiwa date ni lazima watu muongelee mapenzi mwanzo mwisho?Au kwenye date kama hii ambapo mpenzi anakaa kimya mwanzo mwisho unafanyaje? Au hanipendi?



Mwanzoni alikuaje? Akiwa na Mwanaume/Mtu mwingine anazungumza sana? Je kama ni tabia yake hiyo?
 
Huyo sio wa outing, chukua weka ndani ataongea. Inawezekana anaogopa kupiga off points.
Au anasubiri mgegedo kwanza ndo afunguke!

Kabisa,huyu akimpeleka chumbani ataongea sana tu mbona...
 
Una kazi ww! muwashe bakora kwanza utajua tu ni mtu wa mikato ipi.mtoto asikugeuze kuwa mc.
 
Me naona tatizo ni kuwa una story zakujisifia sana wakat hadi sasa hv umeshindwa kutofautisha yule ni dada ako au mpenz wako..
 
Kijana hizo topic unazozungumza naye kwa kweli si zenyewe kabisa, sijui hiyo outing mnaenda wapi lakini kuna mambo ya kuzungumza huko

1. Muulize maswali yanayomhusu yeye au mazungumzo yanayomhusu kama familia yake, anaonaje kuhusu maisha na mambo kama hayo. Sasa wewe mpo sehemu tulivu unauliza habari za boxing!!! kweliiiiii

2. Usiwe muongeaji sana mpe nafasi ya kuongea, isije kuwa unabaldili stori sana mpaka anabaki anakushangaaa tu.

3. Usiwe na mada/topics ngumu, sasa hiyo Escrow mpaka rais mwenyewe haelewi wewe leo unataka mtoto wa watu akueleze nini? Uliza vitu simple na mtaenda sawa tu. Muulize hata kuhusu nywele zake (kama anazo nzuri lakini) au hata pochi na mambo mengine. Kuwa msikilizaji zaidi na mfanye ali relax

Teheeee huyu hachelewi kumuuliza kuhusu situation ya syria ma middle kwa ujumla! Lainisha topic mkuu lol
 
Kijana hizo topic unazozungumza naye kwa kweli si zenyewe kabisa, sijui hiyo outing mnaenda wapi lakini kuna mambo ya kuzungumza huko

1. Muulize maswali yanayomhusu yeye au mazungumzo yanayomhusu kama familia yake, anaonaje kuhusu maisha na mambo kama hayo. Sasa wewe mpo sehemu tulivu unauliza habari za boxing!!! kweliiiiii

2. Usiwe muongeaji sana mpe nafasi ya kuongea, isije kuwa unabaldili stori sana mpaka anabaki anakushangaaa tu.

3. Usiwe na mada/topics ngumu, sasa hiyo Escrow mpaka rais mwenyewe haelewi wewe leo unataka mtoto wa watu akueleze nini? Uliza vitu simple na mtaenda sawa tu. Muulize hata kuhusu nywele zake (kama anazo nzuri lakini) au hata pochi na mambo mengine. Kuwa msikilizaji zaidi na mfanye ali relax

Nimeisoma comment yako nikacheka sana, alafu ina ukweli mtupu! Huyu jamaa hachelewi kumuuliza huyo mrembo kwanini kiwanda cha Mwatex kilikufa, wakati wako kwenye outing.

He should relax and enjoy the moment, and let the mood take the control. Tatizo atakuwa anashinda sana mashambani na wakulima na dukani kwake na makuli au site bunju, kwahiyo romantic moves hana.

Mi nashangaa hata huyo mtoto mkali kamtoa wapi. Madem wa sikuizi wanataka mkikaa mahali mpige ma selfie na vitu kama hivyo yeye yuko bize kuzungumzia boxing!
 
Unajua kuwa kuna watu ambao wamepewa home arest? Yani wamefungwa kifungo cha nje lakini hawaruhusiwi kutoka nje ya nyumba anayoishi bila rushusa? Nahisi na mpenzi wako aliwahi kupewa kifungo kama hicho ndio maana mambo mengin yanampiga chenga...
 
Wakuu,

Ninakwazwa na tabia ya binti mmoja hivi ambae nimempa heshima kubwa ya kumtoa outing sehemu ya daraja la juu ambapo hata mimi huwa siendi. Huyu binti yupo kwenye middle-class anaishi na wazazi wake na ni mhitimu wa chuo.
Mimi ni mjasiriamali nina duka la jumla huku uswahilini na pia najihusisha na kilimo cha mchele mkoani, nilipomaliza nilisota sana benchi nikaamua kuwa mfanyabiashara na sasa mambo yapo levo namalizia nyumba Bunju.

So nikasema acha nitafute mtoto mzuri msomi niwekendani nikampata mtoto mmoja hivi mkali sana akakubali kimsingi kuwa na Mimi hatujazini bado. Lakini kuna jambo bado sijalielewa kwamba tukiwa outing haongei chochote mm ndo nageuka muongeaji mkuuNikikaa kimya basi ndo tunakua kama mabubu vile.

Tena unakuta nimejikoki nimempeleka sehemu ya maana na tulivu lakini ni yale yale, nikianzisha habari za Mkurunzinza kufurumushwa Burundi ambazo ndio zilikua zina trend hii wiki nzima iliyokwisha anakuuliza Mkurunzinza ndio nani.Nikisema nianzishe story za Escrow na bunge ambazo msomi yoyote hapa Tz hawezi kushindwa kujua.

Unakuta yupo kimya nikisema haya sasa ngoja nizungumzie mapenzi ambayo ndio yametuleta hapo date pia kimya nikimuuliza kama ananipenda anasema ndio. Haya myweather na manny wamepigana majuzi ulilionaje pambano? Ananiuliza ni akina nani hao.

Hivi wadau mkiwa date ni lazima watu muongelee mapenzi mwanzo mwisho?Au kwenye date kama hii ambapo mpenzi anakaa kimya mwanzo mwisho unafanyaje? Au hanipendi?


madada wengine wakiwa ktk mahusiano mapya ni waoga sana....hivyo mpeleke sehem ambazo anapenda,mpe anachotaka,msikilize,mmbeleze, punguza kuongea sana na usisahau kumtoa uoga{kula mzgo} usikute mwenzako anauraru we unaleta mapenzi ya kihindi nadhani utamuelewa tu watoto wazuri kusumbua kawaida tena akijua umekolea ndio basi tena........USISAHAU KUTUPIA PICHA NIIGILIZIE
 
tatizo mna interest tofauti,inaonekana unapenda sana siasa na mambo muhimu ya nchi(kufuatilia habari za maana kama ufisadi na n•k)na huyo demu hayupo huko• achana na siasa ukiwa naye ongelea mambo rahisi rahisi tu
 
Back
Top Bottom