Watoto wetu wanakalia mawe madarasani lakini wakubwa wanatembelea magari kama haya. Hivi pesa inayotumika kununulia gari moja kama hili inaweza kununua madawati mangapi?
![]()
Ivi hizi namba ni za wapi?Watoto wetu wanakalia mawe madarasani lakini wakubwa wanatembelea magari kama haya. Hivi pesa inayotumika kununulia gari moja kama hili inaweza kununua madawati mangapi?
![]()
Halafu mgari kama huu eti unamtoa mtu mmoja tu nyumbani mpaka ofisini..9kms.Kuna haja ya kuwa na magari ya cylinder 12?Hivi corolla haifai kwa mji kama Dar?Hili Lorry la nini?....#UjingawamwafrikaWatoto wetu wanakalia mawe madarasani lakini wakubwa wanatembelea magari kama haya. Hivi pesa inayotumika kununulia gari moja kama hili inaweza kununua madawati mangapi?
![]()