Tukisema ndoa zimekosa mvuto na thamani mnakataa na kutuuliza "umeoa"?

Redpanther

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
2,813
3,767
Habari gani Wakuu

Aisee mimi kila siku nimekuwa najiuliza maswali memgi kwanini nioe yaani kwanini ? Wanaojiita Wachungaji wanatuaminisha oooh ndoa ni tamu oooh imekaa hivi ooh imekaa pale!

Hebu chukulia mtu ameolewa juzi juzi ambaye tunaamini ndoa ni tamu bado lakini anachepuka na Mume wa Mtu. Just imagine yaani. Utanambia hawa watu kwamba wanaamani kwenye hizo ndoa au wana experience utamu wowote wa ndoa hawa watu?

Unachepuka na Mume wa Mtu na Mwenye Mume kazinasa Picha zako wakati akikagua simu ya Mumewe Na kazisambaza sasa! Alfu kuna mtu juzi juzi eti ana crush kwa mwanajeshi ambaye sio mume wake na hapo ameolewa bado anakuwa na guts za kutuambia eti Tuoe mbona umri umefika wa kuoa?

NILIKUWA NIKO KWENYE MCHAKATO WA KUOA ILA NGOJA NIVUTE VUTE NA SIRUDI TENA KUPELEKA MAHALI.
MNAO OA NA KUOLEWA, OLEWENI KIMYA KIMYA MSITUHUBIRIE UJINGA WENU WA NDOA HAPA.
Tuzaeni kwa makubaliano basi, tulee watoto.

1623749631789.png

 
Una lako jambo.

Threads za mitandaoni haziwezi kubadili msimamo wako kirahisi hivyo kama partner wako Hana tatizo wala mahusiano yako hayana shida.

Moyo wangu unasita sana kuoa na Nikiangalia yanayoendelea kwenye ndoa….! Mmmh I can’t
 
Kwa ujumla ndoa ni taasisi iliyo mahututi,usitafute furaha kwenye ndoa,uyakufa kabla ya siku zako,pata mwanamke,au mwanaume,zaa watoto,mkiwezana ishini pamoja,ikishindikana,usilazimishe,piga chini,endelea na maisha,
Usioe au kuolewa kwa kuepuka upweke,au kutafuta ulinzi wa kiuchumi,utaumia.
 
Moyo wangu unasita sana kuoa na Nikiangalia yanayoendelea kwenye ndoa….! Mmmh I can’t
Hapo ndo tunapokosea.

Tuna focus kwenye ndoa zilizofeli na zenye matatizo.

Wakati we can marriage work. Very many marriages are working but tabloids won't focus on those ones honey.

They would rather focus on broken marriages that involve ugly wars over wealth after divorce.

Let us be more optimistic.
 


Jomba Binti gani kakuumiza tena huko.

Sijaumizwa Binti yoyote labda mimi natarajia kumuumiza binti anayetegemea ndoa kwangu, mkuu nina mpango wa kutooa. I just need to find a f*k mate, that’s it.
 
Habari gani Wakuu
Aisee mimi kila siku nimekuwa najiuliza maswali memgi kwanini nioe yaani kwanini ? Wanaojiita Wachungaji wanatuaminisha oooh ndoa ni tamu oooh imekaa hivi ooh imekaa pale …!
.
Maisha nikupanga nakuchagua kama unaona kuzaaa kwako ndo itakusaidia sawa... Lakini nataka nikwambie hayo maisha ni magumu kuliko iyo ndoa" na ukitaka kujua ni magumu na mabaya we zaa watoto na mama tofauti tofauti alafu uje ufike miaka 50 Mungu akipenda lazima ujutue huu uwamuzi wako wa leo!!!! Wewe kwenye mahusiano yako hujawai kucheat? Ili uweze kuishi kwenye ndoa ni lazima kwanza ujifunze na ufahamu kuhusu neno msamaha.... Ukiliweza ili neno la (msamaha) yani kusamehe.......

Niamini uzee wako utakuwa wa maana sana kwa watoto wako na kwako pia!!! Jifunze kusamehe kama unataka kuingia kwenye ndoa tofauti na hapo usiingie mapungufu ni mengi kwenye ndoa zetu, jiandae kwa mapungufu na ujue kabisa unaetaka kumuoa sio malaika hii itakusaidia uwe mwepesi kusamehe na maisha yako yatakuwa na amani sana.... Wewe unatakiwa uwe mfano kwa watoto wako sasa kama ndo unataka kuzaa ovyo ovyo jiandae kuja kuletewa wajukuu wasio na Baba au Mama
 
Hapo ndo tunapokosea.

Tuna focus kwenye ndoa zilizofeli na zenye matatizo.

Wakati we can marriage work. Very many marriages are working but tabloids won't focus on those ones honey.

They would rather focus on broken marriages that involve ugly wars over wealth after divorce.

Let us be more optimistic.

I can’t find optimism in it, Watu wanakaa tu ili jamii ione wameoana ila ndani kila mmoja kitanda chake mmh. Thanks for your concern, I cannot agree.

Mimi ni product ya watu waliooana waliishi kwa amani na sikuwa na Bahati kuwa nao hadi wakati huu nikiwa Mkubwa(May they r.i.p), that was back then lakini kile ninachokiona mmh hapana.
 
I can’t find optimism in it, Watu wanakaa tu ili jamii ione wameoana ila ndani kila mmoja kitanda chake mmh. Thanks for your concern, I cannot agree.
Mimi ni product ya watu waliooana waliishi kwa amani na sikuwa na Bahati kuwa nao hadi wakati huu nikiwa Mkubwa(May they r.i.p), that was back then lakini kile ninachokiona mmh hapana.
It is there, but you have chosen not to see it.

But we can't all get married and start families, can we?

Part of being an adult is being responsible for your own actions and decisions.

All the best and I pray that God guides you in choosing what is best for you.
 
Maisha nikupanga nakuchagua kama unaona kuzaaa kwako ndo itakusaidia sawa... Lakini nataka nikwambie hayo maisha ni magumu kuliko iyo ndoa" na ukitaka kujua ni magumu na mabaya we zaa watoto na mama tofauti tofauti alafu uje ufike miaka 50 Mungu akipenda lazima ujutue huu uwamuzi wako wa leo!!!! Wewe kwenye mahusiano yako hujawai kucheat? Ili uweze kuishi kwenye ndoa ni lazima kwanza ujifunze na ufahamu kuhusu neno msamaha.... Ukiliweza ili neno la (msamaha) yani kusamehe....... Niamini uzee wako utakuwa wa maana sana kwa watoto wako na kwako pia!!! Jifunze kusamehe kama unataka kuingia kwenye ndoa tofauti na hapo usiingie mapungufu ni mengi kwenye ndoa zetu, jiandae kwa mapungufu na ujue kabisa unaetaka kumuoa sio malaika hii itakusaidia uwe mwepesi kusamehe na maisha yako yatakuwa na amani sana.... Wewe unatakiwa uwe mfano kwa watoto wako sasa kama ndo unataka kuzaa ovyo ovyo jiandae kuja kuletewa wajukuu wasio na Baba au Mama

Haha..! That’s not making sense at all, Can someone try to make it make sense.
Like serious?? Unataka kunambia wote waliolelewa na Wazazi wao waliooana kwa Ndoa wote wameolewa ? Wangapi huku tunawaona wanalea watoto wamejazwa. Kwanza mimi siangalii Ndoa kana Noble Union. Naiona ndoa kama sehemu ya kuoatia Nafasi ya kusikilizwa na Jamii na hii yote ni kwa sababu ya primitivism ya Jamii yetu ambayo inaamini aliyeoa ana uwezo wa kuongoza au kusimamia Jambo fulani. Damnnn it
 
It is there, but you have chosen not to see it.

But we can't all get married and start families, can we?

Part of being an adult is being responsible for your own actions and decisions.

All the best and I pray that God guides you in choosing what is best for you.

Thanks for your reply.! Enjoy your day sis
 
Kwa ujumla ndoa ni taasisi iliyo mahututi,usitafute furaha kwenye ndoa,uyakufa kabla ya siku zako,pata mwanamke,au mwanaume,zaa watoto,mkiwezana ishini pamoja,ikishindikana,usilazimishe,piga chini,endelea na maisha,
Usioe au kuolewa kwa kuepuka upweke,au kutafuta ulinzi wa kiuchumi,utaumia.

Finally someone has said it all, this is what going on on my brain.
Watu wana cheat kwenye ndoa zao, wanabambikizia wanaume watoto wasio wa kwao. Watu wanakatana mapanga, watu wanaandaliana na magunia ya Mkaa.
Men, ngoja niishi haya maisha then ikitokea wa kukubali tuishi pamoja tunaishi kwa mkataba ikishindikana tunaachana kama tulichuma anapata iliyo haki yake then I move on. Till when this sentence of “Till death do us apart “ finds its way out of Court’s Yard.
 
Haha..! That’s not making sense at all, Can someone try to make it make sense.
Like serious?? Unataka kunambia wote waliolelewa na Wazazi wao waliooana kwa Ndoa wote wameolewa ? Wangapi huku tunawaona wanalea watoto wamejazwa. Kwanza mimi siangalii Ndoa kana Noble Union. Naiona ndoa kama sehemu ya kuoatia Nafasi ya kusikilizwa na Jamii na hii yote ni kwa sababu ya primitivism ya Jamii yetu ambayo inaamini aliyeoa ana uwezo wa kuongoza au kusimamia Jambo fulani. Damnnn it
Nilichosema ndo umerudia kusema... Hao waliojazwa ukawaona na ndo umekuwa mfano kwako na wewe utawajaza na utawaacha wakilea watoto peke yao!!! Ule ni mtazamo wangu katika hoja yako uliyoileta... Maneno yangu sio sheria mkuu!!!
 
Ndoa ni jambo jema ila misukumo inayowafanya watu waingia kwenye ndoa, mara nyingi ndio uleta utata, zamani msukumo mkubwa wa watu kuingia kwenye ndoa ulikuwa ni upendo, pia pande mbili zilikuwa tayari kuyakubali majukumu yanayofuata baada ya ndoa lakini hivi sasa, watu uingia kwenye ndoa kwa kusikiliza misukumo ya nje, mfano ukwasi, maumbile na umri. kizazi cha sasa ni rahisi mno kumkuta mwanamke ameingia kwenye ndoa kwa sababu ya ukwasi wa mme, wanaume nao uingia kwenye ndoa kwa kufuata msukumo wa mwonekano( wanataka wale wenye mizigo sheikh). Vitu hivyo vyote nilivyovitaja sio vya kudumu, ukwasi hupungua na shape uharibika sasa hali hiyo ikitokea ndoa hufa kifo cha mende.

Msukumo umri, hii inaonekana sana kwa wanawake, wengi wanapatwa na sonona pale umri unavyokuwa mkubwa na hawajapata watu wa kuwaoa, wengi wao hali hii uwatokea baada ya kupuyanga sana, muda unavyoenda kuna kipindi uwa wanaikosa ile heshima ya kuolewa, maswali kama wataolewa lini na ile hali ya kuwaona wenzao wanaolewa, mara nyingi uwafanya wanawake waanze kusaka yoyote yule atakayejitokeza, hapa hawaangalii sura, ukwasi tena wanamsemo wao mwanaume ni mwanaume bora uhai tu. Kwa mantiki hiyo ndoa inakuwa haijajengwa kwenye msingi wa upendo, mwanamke wa namna hii ni rahisi kurudi kwenye maisha yake ya kutanga na njia.

Ndoa ni taasisi kongwe, ilikuwepo na itakuwepo pia siwezi kukataa kuwa katika ndoa kuna changamoto za hapa na pale, lakini ndoa ikiwa imejengwa kwenye msingi wa upendo thabiti, upendo ule usioangalia ukwasi, tamaa na maumbo( wenyewe mnaita misambwanda)
ndoa hudumu zaidi na zaidi, kumbuka upendo wa kweli uvumilia. Nakushauri tafuta mwanamke sahihi na yule anayejua wajibu wake kwenye ndoa sio wale wapenda hanasa na starehe kila bar wanazijua.

Kumbuka: Mungu atakupa wa kufanana nawe, ukipuyanga utapata mpuyangaji mwenzio
 
Mbona huyaamini maamuzi yako?? Kama umeamua kwamba hutooa maisha yako yote.....! "just chill and enjoy this life" Amini maamuzi yako
 
Ndoa ni jambo jema ila misukumo inayowafanya watu waingia kwenye ndoa, mara nyingi ndio uleta utata, zamani msukumo mkubwa wa watu kuingia kwenye ndoa ulikuwa ni upendo, pia pande mbili zilikuwa tayari kuyakubali majukumu yanayofuata baada ya ndoa lakini hivi sasa, watu uingia kwenye ndoa kwa kusikiliza misukumo ya nje, mfano ukwasi, maumbile na umri. kizazi cha sasa ni rahisi mno kumkuta mwanamke ameingia kwenye ndoa kwa sababu ya ukwasi wa mme, wanaume nao uingia kwenye ndoa kwa kufuata msukumo wa mwonekano( wanataka wale wenye mizigo sheikh). Vitu hivyo vyote nilivyovitaja sio vya kudumu, ukwasi hupungua na shape uharibika sasa hali hiyo ikitokea ndoa hufa kifo cha mende.

Msukumo umri, hii inaonekana sana kwa wanawake, wengi wanapatwa na sonona pale umri unavyokuwa mkubwa na hawajapata watu wa kuwaoa, wengi wao hali hii uwatokea baada ya kupuyanga sana, muda unavyoenda kuna kipindi uwa wanaikosa ile heshima ya kuolewa, maswali kama wataolewa lini na ile hali ya kuwaona wenzao wanaolewa, mara nyingi uwafanya wanawake waanze kusaka yoyote yule atakayejitokeza, hapa hawaangalii sura, ukwasi tena wanamsemo wao mwanaume ni mwanaume bora uhai tu. Kwa mantiki hiyo ndoa inakuwa haijajengwa kwenye msingi wa upendo, mwanamke wa namna hii ni rahisi kurudi kwenye maisha yake ya kutanga na njia.

Ndoa ni taasisi kongwe, ilikuwepo na itakuwepo pia siwezi kukataa kuwa katika ndoa kuna changamoto za hapa na pale, lakini ndoa ikiwa imejengwa kwenye msingi wa upendo thabiti, upendo ule usioangalia ukwasi, tamaa na maumbo( wenyewe mnaita misambwanda)
ndoa hudumu zaidi na zaidi, kumbuka upendo wa kweli uvumilia. Nakushauri tafuta mwanamke sahihi na yule anayejua wajibu wake kwenye ndoa sio wale wapenda hanasa na starehe kila bar wanazijua.

Kumbuka: Mungu atakupa wa kufanana nae, ukipuyanga utapata mpuyangaji mwenzio

Ngoja niendelee kusoma Komments, Ahsante kwa Mawazo yako.
 
Back
Top Bottom