Kinachowashinda EPL ni team zenyewe. Uingereza haina team zenye wachezaji wenye nguvu kama tuchukulie La liga.unazungumziaje wachezaji wa uingereza ambao wameshindwa kuprove kwenye ligi nyingine?
unazungumziaje timu za
uingereza kushindwa kuprove kwenye ligi ya mabingwa na europa.sevilla kila siku anachukua yeye na uefa madrid na barca wanapokezana kila siku kwanini timu za uingereza zinashondwa kuleta changamoto kama ni bora?
huwezi kuchukua kocha mmoja ambaye hajamaliza hata msimu mmoja ndiyo iwe kipimo chako.
umeona liver tu..tena kwa mwaka jana!..ikiwa na mwalim mpya,alietaka kwenda uefa kwa mgongo wa euro,spurs ktoka makundi sio tatizo,ila lengo lake ubingwa wa epl
Kinachowashinda EPL ni team zenyewe. Uingereza haina team zenye wachezaji wenye nguvu kama tuchukulie La liga.
Mfano ukichukua team zinazorank duniani ni Chelsea inakuja ya tano. lakini La liga inaanza Real Madrid, inafuata Bayern Munchen, Barcelona, Juventus then Chelsea, then Atletical Madrid, Borrusia Dortmund, Arsenal, Benfica, PSG, kwa hiyo unaona katika kumi Spain ziko tatu. angalia First 11 wa fifa utaona majina mengi yanatoka Spain.
Christiano Ronaldo, Lionel Messi and Neymar (attack). Midfield Andres Iniesta, Paul Pogba (EPL), Luka Modric. Defence: Marcelo, Thiago Silva, Sergio Ramos and Dan Alves (all Spain) Keeper Manuel Neuer (Bundasliga)
Kwa hiyo utaona ni wachezaji wangapi wameunda frst eleven je ukiwa kocha utapata shida kuwafundisha?
Siyo mimi niliyemuingiza maana sikuwepo kwenye jopo lililofanya uteuziPogba kaingiaje hapo.? Hebu mtoe huyo mkabaji wa roba za mbao. Kwa mujibu wa FIFA hapo ni Toni Kroos, Germany Machine himself.
Pogba kaingiaje hapo.? Hebu mtoe huyo mkabaji wa roba za mbao. Kwa mujibu wa FIFA hapo ni Toni Kroos, Germany Machine himself.
usilinganishe rasilimali watu wa city na liverYaani liver umetoa sababu ya mwalimu alikuwa mpya, je Guardiola ni mwalimu wa zamani Man City.?
yaani kocha bora ranieri lakin hakuna mchezaj wa timu yake aliyestahili kuingia kwenye kikosi cha dunia!?..inaingia akilin?..hivi kantelele hakufaa kuingia hapo,calwalker hakufaa,coutinho,sanchez,koscielnySiyo mimi niliyemuingiza maana sikuwepo kwenye jopo lililofanya uteuzi
Ifike mahali tukubali kwamba EPL ndio ligi ngumu ila tusisahau la liga ndio bora yenye vilabu yenye vikosi bora mkuuhaka kamchezo balaa. spurs kavuruga mkeks wrote kwa draw ya 0
unazungumziaje wachezaji wa uingereza ambao wameshindwa kuprove kwenye ligi nyingine?
unazungumziaje timu za
uingereza kushindwa kuprove kwenye ligi ya mabingwa na europa.sevilla kila siku anachukua yeye na uefa madrid na barca wanapokezana kila siku kwanini timu za uingereza zinashondwa kuleta changamoto kama ni bora?
huwezi kuchukua kocha mmoja ambaye hajamaliza hata msimu mmoja ndiyo iwe kipimo chako.
Hebu eleza ni makocha wangapi wametoka uingereza wakatikisa huko kwingine!Binafsi sinabudi kusema ligi ya Uingereza ndo kipimo sahihi cha wachezaji na Makocha duniani ni kama vile mitihani ya Darasa la 4 au form 2 ukiweza kufaulu basi umeingia darasa lingine ukifeli kurudia kunakuhusu
Wamekuja Wachezaji wengi wakiwa bora kabsa kutoka ligi walizotoka ila wamefika pale UINGEREZA wamechemka vibaya sana kwa Uchache wao kama vile ROBIHNO,MATEJA KEZMAN,SHEVCHENKO,JO,FALCAO,DI MARIA,PAULIHNO...NK
Na pia kwa sasa tunashuhudia kocha bora kabsa GUARDIOLA akilambishwa sakafu na baadhi ya timu za kawaida kabsa pale Uingereza ambapo kwa ligi alizotoka BUNDESLIGA NA LA LIGA msimu kama huu tiyari angekua ameshatangaza Ubingwa au kumwacha mpinzani wake kwa tofauti ya pointi kubwa sanaa ila kwa sasa mambo ni kinyume.
JE VIGEZO HIVYO NI HALALI KUSEMA LIGI YA UINGEREZA NI KIPIMO SAHIHI CHA MAKOCHA NA WACHEZAJI?
Messi kawadhalilisha Man city ,man u ,Arsenal saaana vipi atawashindwa akina crystalKaleteni ka messi EPL muone kama kataweza.
kama nani vile mkuu?mara ngap madrid wamemtaka Rooney kawatolea nje?uyu beki mbili wa Arsenal(bellerini)mbna kakataa kwenda BarcaWachezaji unaowaona ni bora sana uingereza wakienda barca au madrid watakaa bench maisha yao yote.
Kila mchezaji anapambana ainue kiwango pale uingereza akacheze barca au madrid
Moyes alienda real sociedal,Neville Valencia walishindwa kuperform kutokana na aina ya wachezaji waliowakuta timu hazina uwezo wa kusajili wachezaji wakubwa Sasa mtu kama Guardiola anakosa nini?Hebu eleza ni makocha wangapi wametoka uingereza wakatikisa huko kwingine!
vp ya Barcelona Na Las Palmas hukuona ufundi wa Boateng nn?Jana nilikuwa naangalia game ya Man u vs liver ,sikuona ladha yeyote ile butua butua sana ,mipira mingi inarudishwa kwa kipa kisha kubutuliwa ,timu zote zilikuwa zinapoteza mipira sana ufundi hakuna
Usiku nilitizama game ya Sevilla vs real Madrid hakika nilitamani mpira usiishe ,mpira unachezea chini ,ufundi ,passing ,tactical nk
Pressing ,passing ,ufundi wa kila namna ulikuwepo ,huoni mpira ukipigwa juu hovyo au pass mbovu ,dribble za uhakika
Real Madrid ,Barca ,Atletico ,Sevilla watatawala sana ulaya kwa namna hii
Na hao leceister kazi wanayo kwa mpira wao wa kupaki basi dhahma itawapata kutoka kwa Sevilla
EPL bla bla halafu mguuni mpira mbovu butua butua. Ndio mechi za ulaya huwa wanaishia kupaki basi tu