jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,155
- 29,677
Wanafunzi wanakaa chini kwenye shule za umma kwa kuwa kuna msongamano.Msongamano huu unasababishwa na mengi lakini la muhimu ni uwezo mdogo wa wazazi wenye kipato cha mfanyakazi wa serikali kushindwa kuwasomesha watoto wao kwenye shule binafsi.
Tutakapoweka ada elekezi kama level ya Chuo kikuu tunaweza kupunguza msongamano huu.
Leo hii gharama ya shule binafsi inapanda kwa kuwa na makorokoro mengi yasiyo na tija...mfano bustani za shule zinafanyiwa kazi na vibarua badala ya kuwatumia wanafunzi ili wajifunze stadi za kazi.
Tutakapoweka ada elekezi kama level ya Chuo kikuu tunaweza kupunguza msongamano huu.
Leo hii gharama ya shule binafsi inapanda kwa kuwa na makorokoro mengi yasiyo na tija...mfano bustani za shule zinafanyiwa kazi na vibarua badala ya kuwatumia wanafunzi ili wajifunze stadi za kazi.