Bobdon
Senior Member
- Jun 8, 2017
- 197
- 287
Ng'ombe hachoki mainiNasemehe hata bila kuombwa msamaha, ila kurudiana hapana. Majority wanarudigi washajikongorokea
Atakongoroka kote ila sehemu Fulani atakuwa poa sana!
Ng'ombe hachoki mainiNasemehe hata bila kuombwa msamaha, ila kurudiana hapana. Majority wanarudigi washajikongorokea
Uvinza mifangasi jike haiwaishi. U.t.i ndio umefika! Wanasema uti ni uzembe wa mke yani safi. Najiuliza ivi awa wanaoogea bafuni maji hayawatoshi? AU awajui kuoga!au kutawaza. Mbona zamani waogea mtoni, ziwani na bahalini hawakuugua hivi?. Mdada alikuwa alienda kuoga saa nzima ata angejipaka Mantua ya kupikia U safi ungeuona. Ata ukipima choki akuna halufu. Dada wa leo Kila muda na halafu yake. Asubuhi ya mchana, jioni na usiku. Wote miharufu! Badilikeni.Tatizo wanaume waliowengi akishamuweka ndani mwanamke anapunguza baadhi ya manjonjo, mfano kama kipindi wana "shake well before use" alikuwa anaenda Uvinza, akishamuweka ndani haendi tena! Mahaba yanashuka pasipokuwa na sababu za muhimu. Wanaume badilikeni hata sie tunapenda kupendwa na kupewa "vitamu"
Samehe bila kuombwa msamaha kwendaaa!? Shetani ni kwa mkewe tu raha akale kimada umeshapigisha huko kila kitu kimeisha kwa mkewe afike kulala tu noooo apitilize tu hata usoni simtazamiSamehe mara 490 Mkuu!
Si unajua shetani ana nguvu kubwa sana!
alitakiwa na mama yake amfukuze piaKwanza wababa wasiku hizi mpaka watoto wengi wao wana watamani chunguzeni hata ubakaji mwingi ni ndugu wanawake kufanya uchafu huo ni nadra sana ila kina baba wamepitiliza wakimbilia kwa vimada watoto wakikua ndiyo kurudisha ngwala zao kwa wake zao, nilishuhudia mzee moja kaishi kwa kimada mpaka hela kuisha na kazi hakuna kurudi kwa mkewe kakuta mtoto wake wa kiume fukuza na blificase kake ikabidi arudi kijijini kwa mama yake aibu jamani
alitakiwa na mama yake amfukuze pia
Karibu sana sote tufurahi,njoo PM mrembonitakuja iddi
asannte sanaKaribu sana sote tufurahi,njoo PM mrembo
Amekuja mkuu?Karibu sana sote tufurahi,njoo PM mrembo
umeanzaAiseeeeh,
Miss chagga, umeolewa na unawakid!!??
yameishaHaya , basi tena yaishe.
Duh hatari sana ujue!Aaah inafika stage mtu unaumia hadi unakuwa wa baridi. Unaamua ni kheri tu ustick na mambo yako mengine. So far kuna maisha zaidi ya ndoa
Social networks ndiyo zimebaki kuplay part ya mume tuhurumiepole sana wanafikiria tunavyoshinda kwenye media tunapenda.. kumbe wao wametuweka mbali tufanyaje sasa?
furaha muhimuSocial networks ndiyo zimebaki kuplay part ya mume tuhurumie
Asante studio...wamejisahau sana huu uwaamshe toka usingizini tunahitaji muda na nyinyi kuliko kawaida kupendwa kusikilizwa na yale yote mfanyayo nje ndani yanahitajikaMwanaume wengi sijui wapo vipi? Lawama nyingi za ndoa wamekuwa wakiwatupia wanawake wakati huo huo mke akiongea naye ataambiwa anamdomo gubu, hivi kama mtu analalamika kwanini usishughulikie hicho anachokitaka mwenzio au kaeni chini muelekezane hiki kikae hivi mke wangu, lakini wame wasiku hizi wa mwendokasi jaza ujazwe duu yeye muda wote ni ndita kuvuta mdomo sijui wanachekaga na nani huko cjui michepuko ndiyo hupokea tabasamu lake, wengi wanaishi maisha ya kibabe na ndiyo sababu kubwa wake zao kupata stress mpaka wanacheat wame wengi hawatimizi majukumu yao anashinda kazini mke yupo nyumbani lakini akirudi haonyeshi kama nyumbani kuna mke unazani yeye hapo anajisikia vipi aongee na nani halafu wana wivu wakijinga hao
Safi sanaMkweo mwenyewe hapa nimeelewa.
Sitokungusha mama.