Tukio /kisa kilichofanya ukeshe usiku kucha bila kulala

Mkurya mweupe

JF-Expert Member
Aug 10, 2023
218
740
Wana JF ebu tuambizane ni tukio gani lililowahi kukusibu mpaka ukawa na mawazo ukakosa usingizi kabisa ,usiku wa manane ,Kwangu Mimi.

1 .Tukio la kwanza niliwahi kukosa usingizi baada ya kupata kesi ya kumpa mwanafunzi mimba nikiwa mitaa fulani ,usiku huo ulikuwa mrefu sana ,nilisubiri sana kukuche ili niweze kutoroka na kutokomea.

2. Tukio lingine hasa ni kipind cha baba yangu anapambania uhai wake ,aisee nilikuwa silali kabisa hebu share na sisi Mikasa mingine.
 
Usiku mumoja.. wangu wa moyoni simu ilikuwa ofu na kasema yupo kikazi mahala.. nikakaa usiku kucha nawazia mdushe unatafuna.. sijui ya aina gani.. kisa kisanga kilimpatq my shoste.

Asubuhi najua kumbe yupo sehemu hata mbunye za kuokota kutoa hamu hakuna.. siku hiyo niliacha kufikiria mabaya.. nalala usingizi mnono hata iweje miaka mingi sasa.. na Amani na furaha imeniokoa na magonjwa..

Chaji ilikwisha.. akaamkia dukani achajiwe asubuhi mapemaa..

😂😂😂
 
Nilikua na msala flan wamchongo huko nishatokomea kusikojulikana nikapata taarifa mapoti wameibuka geto kwangu mbagala Kama 16 hivi me huko nipo zangu kwenye apartment mbezi beach licha ya kiyoyozi full na mandhari mazuri kuliko gheto Ila usingizi haukuja kabsa Ila nilikuja kuusolve msala kesho yake
 
Mkuu yani unasubiri kukuche ndo utoroke..?
Swala linaloitwa kutoroka huwa halisubiri muda, mtorokaji hutoroka muda wowote.. kitendo cha kusubiri huo ni uzwazwa watesi wako wanaweza kukufikia muda ambao hautarajii... Itabidi uje nikupe somo kuhusu kutoroka.

Kutoroka kunaanza na when halafu ndo inafuata how..! Hiyo how inajibiki ukiwa upo njiani halafu where inakujaga kama mzimu..😅
 
Nilikua na msala flan wamchongo huko nishatokomea kusikojulikana nikapata taarifa mapoti wameibuka geto kwangu mbagala Kama 16 hivi me huko nipo zangu kwenye apartment mbezi beach licha ya kiyoyozi full na mandhari mazuri kuliko gheto Ila usingizi haukuja kabsa Ila nilikuja kuusolve msala kesho yake
Mkasa upi ,funguka
 
Mkuu yani unasubiri kukuche ndo utoroke..?
Swala linaloitwa kutoroka huwa halisubiri muda, mtorokaji hutoroka muda wowote.. kitendo cha kusubiri huo ni uzwazwa watesi wako wanaweza kukufikia muda ambao hautarajii... Itabidi uje nikupe somo kuhusu kutoroka..
Kutoroka kunaanza na when halafu ndo inafuata how..! Hiyo how inajibiki ukiwa upo njiani halafu where inakujaga kama mzimu..
Nimekuelewa , mazingira niliyokuwepo hayakuruhusu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom