Tukio gani linakufanya uamini kuwa Mungu yupo?

Hapo uliposema hana sababu ya kuumba ulimwengu huu panahitaji maelezo,wewe umejuaje kuwa hana sababu au umekisia tu? na kama umekisia basi maelezo yote yanayofuata ni kwa sababu ya makisio yako tu?
Hana sababu ya kuumba ulimwengu unaoruhusu maovu kwa sababu asili yake ni mazuri na upendo, mazuri na upendo usio mwisho. Uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani anao, ujuzi wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani anao, upendo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani anao.

Kwa nini aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati yeye ni Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ni contradiction.

Ni sawa na kusema mtu yupo Dar physically, halafu kwa wakati huo huo hayupo Dar physically.

Ni kitu ambacho hakiwezekani kuwepo.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.
 
Hana sababu ya kuumba ulimwengu unaoruhusu maovu kwa sababu asili yake ni mazuri na upendo, mazuri na upendo usio mwisho. Uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani anao, ujuzi wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani anao, upendo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani anao.

Kwa nini aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati yeye ni Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ni contradiction.

Ni sawa na kusema mtu yupo Dar physically, halafu kwa wakati huo huo hayupo Dar physically.

Ni kitu ambacho hakiwezekani kuwepo.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.
Kuna tofauti ya kuwa na sababu na hiyo asili yake(ambayo nayo inahitaji maelezo) hapa haujaeleza ni vp umejua kuwa hana sababu bado inaonesha umekisia tu,hii kauli ya hana sababu ina tatiza bado.
 
Kuna tofauti ya kuwa na sababu na hiyo asili yake(ambayo nayo inahitaji maelezo) hapa haujaeleza ni vp umejua kuwa hana sababu bado inaonesha umekisia tu,hii kauli ya hana sababu ina tatiza bado.
Kimantiki.

Mantiki imeweka sheria kwa binadamu. Imetupa hesabu.

Mantiki imeweka sheria kwamba, noblesse oblige. With great power, comes great responsibility.

Ndiyo maana yalipotokea machafuko Kenya 2007, kina Uhuru Kenyataa na William Ruto, watu wenye power, wakashtakiwa ICC.

Hawakuchukuliwa machokoraa wa Nairobi wasio na power.

Uhuru hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote. lakini tumeona ashtakiwe ICC kwa mauaji yaliyotokea Kenya.

Uhuru hakuumba ulimwengu, hakuachia ulimwengu uruhusu mauaji kwa kuwa kauumba yeye.

Lakini tumeona ashtakiwe kwa machafuko ya Kenya 2007.

Sasa itakuwaje Mungu, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aumbe ulimwengu ambao unaruhusu mauaji mara bilioni na bilioni ya yaliyotokea Kenya, halafu watu waone sawa tu, wamtukuze huyu Mungu?

Mbona tunamhukumu Uhuru, mtu tu ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote kwa standard kubwa kuliko tunayomuwekea Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?

Huyu Mungu yupo kweli au ni hadithi za uongo tu?
 
Kimantiki.

Mantiki imeweka sheria kwa binadamu. Imetupa hesabu.

Mantiki imeweka sheria kwamba, noblesse oblige. With great power, comes great responsibility.

Ndiyo maana yalipotokea machafuko Kenya 2007, kina Uhuru Kenyataa na William Ruto, watu wenye power, wakashtakiwa ICC.

Hawakuchukuliwa machokoraa wa Nairobi wasio na power.

Uhuru hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote. lakini tumeona ashtakiwe ICC kwa mauaji yaliyotokea Kenya.

Uhuru hakuumba ulimwengu, hakuachia ulimwengu uruhusu mauaji kwa kuwa kauumba yeye.

Lakini tumeona ashtakiwe kwa machafuko ya Kenya 2007.

Sasa itakuwaje Mungu, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aumbe ulimwengu ambao unaruhusu mauaji mara bilioni na bilioni ya yaliyotokea Kenya, halafu watu waone sawa tu, wamtukuze huyu Mungu?

Mbona tunamhukumu Uhuru, mtu tu ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote kwa standard kubwa kuliko tunayomuwekea Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?

Huyu Mungu yupo kweli au ni hadithi za uongo tu?
Ulichosema ni kuwa hana sababu na ndiyo mie nauliza umejuaje kuwa hana,maana huku kutokuwa na sababu ndipo hoja ilipojikita kuwa watu watakuwa wamebuni tu suala la kuwepo mungu aliyeumba ulimwengu wakati wewe unajua mungu hana sababu ya kuumba ulimwengu huu na kwa maana hiyo sio kweli kuwa mungu kaumba ulimwengu huu.
 
Kimantiki.

Mantiki imeweka sheria kwa binadamu. Imetupa hesabu.

Mantiki imeweka sheria kwamba, noblesse oblige. With great power, comes great responsibility.

Ndiyo maana yalipotokea machafuko Kenya 2007, kina Uhuru Kenyataa na William Ruto, watu wenye power, wakashtakiwa ICC.

Hawakuchukuliwa machokoraa wa Nairobi wasio na power.

Uhuru hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote. lakini tumeona ashtakiwe ICC kwa mauaji yaliyotokea Kenya.

Uhuru hakuumba ulimwengu, hakuachia ulimwengu uruhusu mauaji kwa kuwa kauumba yeye.

Lakini tumeona ashtakiwe kwa machafuko ya Kenya 2007.

Sasa itakuwaje Mungu, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aumbe ulimwengu ambao unaruhusu mauaji mara bilioni na bilioni ya yaliyotokea Kenya, halafu watu waone sawa tu, wamtukuze huyu Mungu?

Mbona tunamhukumu Uhuru, mtu tu ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote kwa standard kubwa kuliko tunayomuwekea Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?

Huyu Mungu yupo kweli au ni hadithi za uongo tu?
Achana nae huyo anajua aliyemwaminisha kuwa hakuna Mungu. Muulize kuhusu Shetani umsikie. Yupo kazini huyo, sayansi hizo na Evolution tumesoma haina majibu sahihi ila lipo moja linalothibitisha uwepo wa Mungu i.e. Super natural power
Kimantiki.

Mantiki imeweka sheria kwa binadamu. Imetupa hesabu.

Mantiki imeweka sheria kwamba, noblesse oblige. With great power, comes great responsibility.

Ndiyo maana yalipotokea machafuko Kenya 2007, kina Uhuru Kenyataa na William Ruto, watu wenye power, wakashtakiwa ICC.

Hawakuchukuliwa machokoraa wa Nairobi wasio na power.

Uhuru hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote. lakini tumeona ashtakiwe ICC kwa mauaji yaliyotokea Kenya.

Uhuru hakuumba ulimwengu, hakuachia ulimwengu uruhusu mauaji kwa kuwa kauumba yeye.

Lakini tumeona ashtakiwe kwa machafuko ya Kenya 2007.

Sasa itakuwaje Mungu, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aumbe ulimwengu ambao unaruhusu mauaji mara bilioni na bilioni ya yaliyotokea Kenya, halafu watu waone sawa tu, wamtukuze huyu Mungu?

Mbona tunamhukumu Uhuru, mtu tu ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote kwa standard kubwa kuliko tunayomuwekea Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?

Huyu Mungu yupo kweli au ni hadithi za uongo tu?
 
Ulichosema ni kuwa hana sababu na ndiyo mie nauliza umejuaje kuwa hana,maana huku kutokuwa na sababu ndipo hoja ilipojikita kuwa watu watakuwa wamebuni tu suala la kuwepo mungu aliyeumba ulimwengu wakati wewe unajua mungu hana sababu ya kuumba ulimwengu huu na kwa maana hiyo sio kweli kuwa mungu kaumba ulimwengu huu.

Kwanza kabisa hana sababu kwa sababu ya logic. Contradiction.

Contradiction inaonyesha uongo.

Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao unaruhusu maovu wakati ana upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu maovu ni cintradiction.

Contradiction inaonesha uongo.

Ukiamini Mungu huyubwa contradiction yupo, hapo hapo umeamini hayupo.

Kwa sababu kuamini contradiction ni kuamini kitu na kinachokipinga.

Lakini pia.

Kabla ya kuniuliza nimejuaje hana sababu, thibitisha kwamba yupo.

Hutakiwi kushindwa kuthibitisha Mungu yupo, halafu unitake nieleze nimejuaje hana sababu za kuumba hivi.

Nikikwambia hana sababu za kuumba hivi kwa sababu hayupo, na wewe huwezi kuthibitisha kwamba yupo, utanijibu vipi?
 
Kwanza kabisa hana sababu kwa sababu ya logic. Contradiction.

Contradiction inaonyesha uongo.

Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao unaruhusu maovu wakati ana upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu maovu ni cintradiction.

Contradiction inaonesha uongo.

Ukiamini Mungu huyubwa contradiction yupo, hapo umeamini hayupo.

Kwa sababu kuamini contradiction ni kuamini kitu na kinachokipinga.

Lakini pia.

Kabla ya kuniuliza nimejuaje hana sababu, thibitisha kwamba yupo.

Hutakiwi kushindwa kuthibitisha Mungu yupo, halafu unitake nieleze nimejuaje hana sababu za kuumba hivi.

Nikikwambia hana sababu za kuumba hivi kwa sababu hayupo, na wewe huwezi kuthibitisha kwamba yupo, utanijibu vipi?

*Sasa mbona huwa mnakataa tukiwaambia kuwa mnaamini mungu hayupo?


Mkuu mie naona unakazana kueleza tu mambo ya contradiction lakini sioni kueleza umejuaje kuwa hana sababu ya kuumba ulimwengu huu?
 
Mawazo yako kwamba Mungu yupo kwa sababu umepona wewe mmoja wakati wenzako wengi walikufa yanaonyesha.

1. Wewe ni mbinafsi. Unajifikiria wewe kuliko wenzako.
2. Hujui hesabu. Unamsifu Mungu kwa kukuponya wewe mmoja wakati wengi wamekufa.
3. Hujui kufikiri kwa mantiki. Hujajiuliza, hivi, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uoendo wote na ujuzi wote, kwa nini hakuumba ulimwengu ambao ajali haziwezekani kutokea?
Mna kazi kweli mawakala wa Satan. Yaani eti hata Shetani hayupo. Mazingaombwe yanatokeaje, Vyungu barabarani vinapasuliwa kwa kazi za nani. Aches kupotosha umma
 
mamba kufia nchi kavu
iko hivi inasemekana mamba huwa anasumu kali sana endapo atafia kwenye maji kunauwezekano wa hiyo nyongo yake ku ua `asilimia kubwa ya viumbe eneo hilo kwenye maji, mungu alivyo waajabu alinfanya mamba awe anafia njee kabisa ya maji
 
Uwepo wangu mimi hapa duniani, ni imani tosha kabisa ya kuamini Mungu muumba Mbingu na Nchi yupo.
 
Mna kazi kweli mawakala wa Satan. Yaani eti hata Shetani hayupo. Mazingaombwe yanatokeaje, Vyungu barabarani vinapasuliwa kwa kazi za nani. Aches kupotosha umma
Hujathibitisha shetani wala Mungu yupo.

Umeeleza tu vitu usivyovielewa.

Hata babu zako waliamini wazungu walioweza kufanya watu waongee katika kibox cha gramophone walikuwa na uchawi.

Wakati hakukuwa na uchawi wowote.

Unaweza kuthibitisha Mubgu yupo?
 
Uwepo wangu mimi hapa duniani, ni imani tosha kabisa ya kuamini Mungu muumba Mbingu na Nchi yupo.

Usiongelee imani, ongelea uthibitisho.

Uwepo wako unathibitishaje Mungu yupo?

Ukweli kwamba wewe una mwili unaoumwa, unaokunya na utakaokufa unathibitisha Mungu hayupo.
 
Hujathibitisha shetani wala Mungu yupo.

Umeeleza tu vitu usivyovielewa.

Hata babu zako waliamini wazungu walioweza kufanya watu waongee katika kibox cha gramophone walikuwa na uchawi.

Wakati hakukuwa na uchawi wowote.

Unaweza kuthibitisha Mubgu yupo?
Nani hajaona mazingaombwe, au shale hujaenda
Mchanga unageuka kuwa sukari kiinni macho. Ni kazi za kichawi.
Zinafanywa na Shetani sasa unataka nini uamini kuwa shetani yupo?
 
Mfumo wangu wa mwili hasa nataka kutype litu kidole kinajipleka tu hata inakuwa kama hata sifikirii kinaenda tu kinabonyeza herufi.
Aisee Mungu ni fundi bwana...
Haiwezi kuwa tulitokea kwa bahati mbaya kuna mtaalamu nuuma ya haya maajabu
 
Nani hajaona mazingaombwe, au shale hujaenda
Mchanga unageuka kuwa sukari kiinni macho. Ni kazi za kichawi.
Zinafanywa na Shetani sasa unataka nini uamini kuwa shetani yupo?
Kuona kitu ambacho hujakielewa hakuthibitishi Mungu yupo.

1. Inawezekana kabisa ulichoona si uchawi, ni mental tricks tu.

2. Inawezekana si uchawi, ni kitu ambacho hujakielewa. Arthur C. Clarke said ""Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic." Babu zako wa miaka 200 iliyopita wangeonyeshwa tunavyowasiliana kwenye internet, watu wanavyoruka kwa ndege, TV etc, wangesema ni uchawi, lakini si uchawi. Sasa wewe unajuaje huo ni uchawi na si kitu kingine?

Swali langu hujajibu.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, lakini hakutaka tu?

Kama hakutaka tu, je, ni kweli ana upendo wote kuachia mabaya yote yawezekane wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hayawezekani?

Au alitaka kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, lakini hakuweza tu? Kama alitaka lakini hakuweza, ni kweli ana uwezo wote?

Hujajibu hili swali.
 
Mfumo wangu wa mwili hasa nataka kutype litu kidole kinajipleka tu hata inakuwa kama hata sifikirii kinaenda tu kinabonyeza herufi.
Aisee Mungu ni fundi bwana...
Haiwezi kuwa tulitokea kwa bahati mbaya kuna mtaalamu nuuma ya haya maajabu
Mungu angekuwepo, mfumo wako wa mwili usingekufanya unye.

Kunya ni ishara ya inefficiency.

An inefficient system is an inferior system

Mungu wenu muweza yote, mwenye ujuzi wote na uoendo wote, kama angekuwepo, na kama angeumba viumbe, asingeviumba na inefficient system.

Ukweli kwamba mwili wako unakunya mavi, unaonesha kwamba mwili wako haujaumbwa na Mungu.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

NB. Mfumo wako wa mwili unakufanya ynye mavi yenye uchafu unaosababisha magonjwa mengi yanayoua watu wengi sana moaka leo.

Ni wazi mfumo huu haujaumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wite na uoendo wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom