Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 416
- 462
Napendekeza mamlaka kuliangalia pia suala la kuenea Karakana za magari, mafundi mbao, aluminiam na kuchomelea vyuma.
Nakubali kuwa kazi hizi ni chanzo Cha mapato kwa wengi na zinasaidia watu kujikwamuwa kimaisha. Hata ivyo, kumekuwa na uholela wa maeneo ya kuwekeza shughuli hizo.
Nashauri Halmashauri ziliangalie janga ili kabla halijaathili jamii kwa kiasi kikibwa.
Nakubali kuwa kazi hizi ni chanzo Cha mapato kwa wengi na zinasaidia watu kujikwamuwa kimaisha. Hata ivyo, kumekuwa na uholela wa maeneo ya kuwekeza shughuli hizo.
Nashauri Halmashauri ziliangalie janga ili kabla halijaathili jamii kwa kiasi kikibwa.