Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 299,604
- 752,011
State of emergency ni hali ya hatari, kiongozi wa nchi anapotangaza hali ya hatari basi karibia kila kitu kinakuwa na ukomo, kuanzia mitandao ya kijamii inaweza kuzimwa yote, mijadala na hata muda wa kulala ama kuamka, kukusanyika nk nk, hali ya hatari si jambo jema kwakuwa uhuru kwenye kila jambo unakuwa na kikomo... Limited freedom
Magufuli yuko kwenye pressure kubwa sana ya kujaribu kuweka mambo sawa.. Kuna wakati naona kabisa hastahili kila lawama,....wa kulaumiwa pakubwa sana ni JK aka Mr dhaifu
Nchi ilifika mahali ikawa kwenye auto mode, miaka kumi ya JK ilizalisha milima ya matatizo ambayo ndio hii Leo hii Magufuli anajaribu kuisawazisha
Kuna hulka Kama hulka na mitazamo pia na kila mwanadamu ana madhaifu yake, Magufuli si malaika kwamba anaweza kufanya kila kitu kwa ukamilifu wake, kuna mahali anapatia na kuna mahali anakosea, wote tuko hivyo, hakuna mkamilifu
Mwanzoni ilionekana ni Kama upinzani ndio unamuandama sana Magufuli lakini kadiri siku zinavyosonga na mambo yanavyokwenda hata watu wake ndani ya chama wanaanza kuonyesha upinzani wa wazi kabisa
Hili si jambo la afya sana... Na Inawezekana kabisa likawa linamuumiza Magufuli pakubwa tu.. Inawezekana kabisa nia yake ni safi dhamira yake ni nzuri lakini anaona kabisa watu hawamuelewi
Hili limejidhihirisha juzi alipotoa angalizo kwa wamiliki wa vyombo vya habari.... Ile sauti ilibeba uzito wa kile alichomaanisha. Hatanii na hashindwi asilani kufanya kweli
Ukichangizwa na wapinzani wako haiumi sana ila unapoona kuna uasi wa wazi ama wa kificho unaanza kujitokeza ndani ya watu wako mwenyewe kitisho kinakuwa dhadhiri na inapofikia hapo hakuna njia nyingine bali kuchukua uamuzi mgumu ili uweze kufanya kazi kwa amani.... Wengine hutangaza hali ya hatari na jeshi kushika hatamu
Chochote kitakachotokea Magufuli hana mzigo mkubwa wa lawama kama Kikwete...wakati ule tulipanda sasa tunavuna
Tuangalie hili kwa asili yake tutaona wazi tatizo lilianzia wapi.....
NB: hii inaweza kuwa post yangu ya mwisho kwenye jukwaa la siasa....
Magufuli yuko kwenye pressure kubwa sana ya kujaribu kuweka mambo sawa.. Kuna wakati naona kabisa hastahili kila lawama,....wa kulaumiwa pakubwa sana ni JK aka Mr dhaifu
Nchi ilifika mahali ikawa kwenye auto mode, miaka kumi ya JK ilizalisha milima ya matatizo ambayo ndio hii Leo hii Magufuli anajaribu kuisawazisha
Kuna hulka Kama hulka na mitazamo pia na kila mwanadamu ana madhaifu yake, Magufuli si malaika kwamba anaweza kufanya kila kitu kwa ukamilifu wake, kuna mahali anapatia na kuna mahali anakosea, wote tuko hivyo, hakuna mkamilifu
Mwanzoni ilionekana ni Kama upinzani ndio unamuandama sana Magufuli lakini kadiri siku zinavyosonga na mambo yanavyokwenda hata watu wake ndani ya chama wanaanza kuonyesha upinzani wa wazi kabisa
Hili si jambo la afya sana... Na Inawezekana kabisa likawa linamuumiza Magufuli pakubwa tu.. Inawezekana kabisa nia yake ni safi dhamira yake ni nzuri lakini anaona kabisa watu hawamuelewi
Hili limejidhihirisha juzi alipotoa angalizo kwa wamiliki wa vyombo vya habari.... Ile sauti ilibeba uzito wa kile alichomaanisha. Hatanii na hashindwi asilani kufanya kweli
Ukichangizwa na wapinzani wako haiumi sana ila unapoona kuna uasi wa wazi ama wa kificho unaanza kujitokeza ndani ya watu wako mwenyewe kitisho kinakuwa dhadhiri na inapofikia hapo hakuna njia nyingine bali kuchukua uamuzi mgumu ili uweze kufanya kazi kwa amani.... Wengine hutangaza hali ya hatari na jeshi kushika hatamu
Chochote kitakachotokea Magufuli hana mzigo mkubwa wa lawama kama Kikwete...wakati ule tulipanda sasa tunavuna
Tuangalie hili kwa asili yake tutaona wazi tatizo lilianzia wapi.....
NB: hii inaweza kuwa post yangu ya mwisho kwenye jukwaa la siasa....