Tukijaribu hili hatutafika?

mtendakazi

Member
Mar 14, 2012
26
7
Wana jamii nimekuwa nikiwaza jambo hii la kila influencial figure, wasomi, waganga wa kienyeji, wananziki n.k kutaka kuwa wanasiasa katika nchi yetu, hali inayopelekea kuzorotesha maendeleo ya nchi.
watazame ma ingeneeear wetu
watazame ma daktari wetu
watazame wa chumi wetu
watazame wana sheria wetu na wengine wote waliofika bungeni ambavyo maisha yao yalivyo tofauti na wenzao wa kada hizo walio baki kwenye utumishi wa umma! hoja yangu hapa matabaka yaliyojitokeza kwenye muhundo wa ki uongozi ndio yanayoleta fujo zote tunazozishuudia kila uchapo pamoja na ufisadi, migomo ya wana taaruma kama madaktari, walimu nk. mawazo yangu ili tuweze kupata kweli watu wanaovutwa kwenye siasa kwa wito wa kutatua changamoto za kimaendeleo ktk nchi yetu , tutoe maoni katika mchakato wa katiba mpya unaoendelea kuwa
wanasiasa wote walio
wabuge
mawaziri
hata raisi walipwe kulingana na taaruma zao! hapa ndipo tutakapo ona wasiasa wa kweli.
naomba kuwasilisha!.........................................
 
hapo mjengoni hupati mtu kwa utaratibu huo na malipo yao hufanyika kama mbunge na siyo kwa taaluma aliyonayo. ila mkuu hilo wazo limekaa vizuri coz mwisho wa siku mwakilishi wa wananchi mwenye nia ya kweli ataingia mjengoni.
 
Wana jamii nimekuwa nikiwaza jambo hii la kila influencial figure, wasomi, waganga wa kienyeji, wananziki n.k kutaka kuwa wanasiasa katika nchi yetu, hali inayopelekea kuzorotesha maendeleo ya nchi.
watazame ma ingeneeear wetu
watazame madaktari wetu
watazame wachumi wetu
watazame wana sheria wetu na wengine wote waliofika bungeni ambavyo maisha yao yalivyo tofauti na wenzao wa kada hizo walio baki kwenye utumishi wa umma! hoja yangu hapa matabaka yaliyojitokeza kwenye muhundo wa kiuongozi ndio yanayoleta fujo zote tunazozishuudia kila uchapo pamoja na ufisadi, migomo ya wana taaruma kama madaktari, walimu nk. mawazo yangu ili tuweze kupata kweli watu wanaovutwa kwenye siasa kwa wito wa kutatua changamoto za kimaendeleo ktk nchi yetu , tutoe maoni katika mchakato wa katiba mpya unaoendelea kuwa
wanasiasa wote walio
wabuge
mawaziri

hata raisi walipwe kulingana na taaruma zao! hapa ndipo tutakapoona wasiasa wa kweli.
naomba kuwasilisha!.........................................

Asante Bwana Mtendakazi,

Angalia maneno niliyoyabadili kwa wino mwekundu kwenye maandiko ya hoja yako hapo juu. Kiswahili ni lugha yetu, tujitahidi basi kuitendea haki kwa kuandika maneno kwa usahihi. Inakera sana msomaji anapojikwaa kwenye visiki vya makosa ya lugha badala ya kuendelea na mtiririko mzuri wa mawazo. Najua wengi tuko na matatizo lakini tujitahidi kusoma na kufanya mazoezi ya uandishi ili tutumie karamu zetu kwa ueledi kuimarisha demokrasia. Tusilidharau hili, tunasukuma lugha ya Kiswahili izidi kutambulika kimataifa na hasa kwenye ukanda huu wa Afrika. Watanzania ndio tunategemewa, tusijiangushe tafadhali.
 
Wana jamii nimekuwa nikiwaza jambo hii la kila influencial figure, wasomi, waganga wa kienyeji, wanamziki n.k kutaka kuwa wanasiasa katika nchi yetu, hali inayopelekea kuzorotesha maendeleo ya nchi.
watazame wahandisi wetu
watazame madaktari wetu
watazame wachumi wetu
watazame wanasheria wetu na wengine wote waliofika bungeni ambavyo maisha yao yalivyo tofauti na wenzao wa kada hizo walio baki kwenye utumishi wa umma! hoja yangu hapa matabaka yaliyojitokeza kwenye muundo wa ki uongozi ndio yanayoleta fujo zote tunazozishuudia kila uchapo pamoja na ufisadi, migomo ya wana taaluma kama madaktari, walimu nk. mawazo yangu ili tuweze kupata kweli watu wanaovutwa kwenye siasa kwa wito wa kutatua changamoto za kimaendeleo ktk nchi yetu , tutoe maoni katika mchakato wa katiba mpya unaoendelea kuwa
wanasiasa wote ambao ni
wabuge
mawaziri
hata rais walipwe kulingana na taaluma zao! hapa ndipo tutakapo ona wana siasa wa kweli.
naomba kuwasilisha!.................. .......................








 
Back
Top Bottom